Yupo wapi mwanaharakati huyu wa UDSM?

Yupo wapi mwanaharakati huyu wa UDSM?

Magu shule gani? Lkn mie simfaham. Kwangu mie maarufu walikuwa owawa, mtatiro, bushi, na odwaa! Ni harakati zao zilifanikisha kuwepo kwa means testing results, ni harakati zao wanafunzi wa vyuo private walianza kupata mikopo na ni harakati zao hadi div iii walianza kupata mikopo. Kabla ya hapo ilikuwa 1 kwa social science na 2 kwa science na ualimu.
Yaani bahati tweve umemsahau?
 
Magu shule gani? Lkn mie simfaham. Kwangu mie maarufu walikuwa owawa, mtatiro, bushi, na odwaa! Ni harakati zao zilifanikisha kuwepo kwa means testing results, ni harakati zao wanafunzi wa vyuo private walianza kupata mikopo na ni harakati zao hadi div iii walianza kupata mikopo. Kabla ya hapo ilikuwa 1 kwa social science na 2 kwa science na ualimu.
Yaani bahati tweve umemsahau?
 
Wasomi wa nchi nyingine wanasumbuka na programming (codes) , wasomi wa Tanzania muda huu wanajikumbushia ujinga waliokuwa wakifanya enzi hizo za usomi wao.
 
Kuna watu uharakati wao ulihamasishwa na mob psychology ya UDSM, nje ya UD! they are nothing!. Wako wapi kina Sikitiko Kapile , Emile Kivugo, kina Bazigiza baada ya UDSM?!.
P.
Paschal umenikumbusha Emily Kivugo,nilikuwa first year tuliposalitiwa na Kusaja,Mkili R.I.P akasonga mbele.Magabe na yeye sijui yuko wapi ,Eliya sasa anaitwa Godfrey Wasonga kada wa CCM.
 
Magu shule gani? Lkn mie simfaham. Kwangu mie maarufu walikuwa owawa, mtatiro, bushi, na odwaa! Ni harakati zao zilifanikisha kuwepo kwa means testing results, ni harakati zao wanafunzi wa vyuo private walianza kupata mikopo na ni harakati zao hadi div iii walianza kupata mikopo. Kabla ya hapo ilikuwa 1 kwa social science na 2 kwa science na ualimu.
Hiyo imetiwa sukari,Loans board ilianzishwa 2004 na ili kila anayestahili apate mkopo.
 
Kijicho nishawai kumuona pande fulani za Golani nyuma ya chuo huku karibu na msewe!!!!amechoka kinyama na hajarudishwa chuo mpk leo!!!!!!anakaa na mwanaharakati mwenzie anaitwa Bocassa!!maisha yao ni magumu sana!!Bocassa baada ya kufukuzwa chuo sasa ni dereva bodaboda!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Duh kweli dunia hii ya Africa usitumie sana logic maana waafrica logic hawana kinachofuata ni maumivu
 
Japo simkumbuki Kaemba lakini Udsm ya 2006-2010 ilikuwa balaa tupu kila semista lazima mgomo na maandamano na kila mwaka chuo kufungwa... peoplez kama Mtatiro(PM), Deo Daud (rais), Odong, Bush, Dady Igogo, Owawa, Silinde, Aristotle, n.k ziliyumbisha utawala wa chuo na serikali. karibu kila mwanachuo alikuwa mwanaharakati naikumbuka Red guard ya Mtatiro nikiwa first year tulifanya makubwa ya kuwatia mboko students na malekchara wapinga migomo. katika uwepo wangu udsm chuo kilifungwa mara 2 sababu ya migomo tukarudishwa nyumban 2007 na 2008. saa hizi sijui matatizo yameisha chuoni au wanafunzi radicals ndo wameisha??
Sasa hivi hamna kitu kabisa pamepoa sana
 
Aliwahi kupeleka muswaada wa kitabu chake pale DUP. Jina la kitabu " BUNGE LA MABWEGE NA KURA ZA CHEKECHEA ". Mhariri wa DUP alimtolea nje kwa sababu sumu alizomwaga humo hazikuwa za kitoto. Jamaa anajua sana. Nayakumbuka matukio yake ya hatari mengi sana pale UDSM.
Mwambie tuna Publisher JF, where we dare to Talk Openly. Alete huo mswada. Kama lugha ni Kali sana tuta ifanyia coding kupunguza ukali ingawa maana itabaki palepale!!!
 
Back
Top Bottom