LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,317
Kwa mlio kuwa UDSM kati ya 2006/2007 hadi 2009/2010 nadhani mtakuwa mnakumbuka huyu jamaa, anaye enda kwa jina la KAEMBA KASINYE KATUMBO a.k.a TRIPLE KA. Alikuwa ana soma PS HISTORY ( edit please).
Tulikuwa tunamkubali sana jamaa kwa harakati zake pale Udsm. Nilikuwa nakubali zaidi His Fighting Spirit. Alikuwa haogopi kusema au kufanya chochote ili mradi tu anasimamia haki.
Alikuwa pia maarufu kwa makala zake za kiharakati alizo kuwa anazibandika katika maeneo mbalimbali ya chuo kama vile kwenye notice board ya cafeterias, halls, n.k. Anakumbukwa sana kwa bandiko lake maarufu " USONONI WA KAEMBA" ambapo alimchana sana mkalia-ndala , baadhi ya viongozi wa Daruso na wanafunzi wasaliti. Mambo aliyo yafanya ni mengi sana.
Tangu mwaka 2009, sijasikia chochote kuhusu huyu jembe.
Any one know about him please?
Tulikuwa tunamkubali sana jamaa kwa harakati zake pale Udsm. Nilikuwa nakubali zaidi His Fighting Spirit. Alikuwa haogopi kusema au kufanya chochote ili mradi tu anasimamia haki.
Alikuwa pia maarufu kwa makala zake za kiharakati alizo kuwa anazibandika katika maeneo mbalimbali ya chuo kama vile kwenye notice board ya cafeterias, halls, n.k. Anakumbukwa sana kwa bandiko lake maarufu " USONONI WA KAEMBA" ambapo alimchana sana mkalia-ndala , baadhi ya viongozi wa Daruso na wanafunzi wasaliti. Mambo aliyo yafanya ni mengi sana.
Tangu mwaka 2009, sijasikia chochote kuhusu huyu jembe.
Any one know about him please?