Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Habari zenu familia ya JF. Wenye kujua alipo mwanahabari na DC Nocvatus Makunga atujuze.
Namkumbuka sana alikuwa mwana taaluma mzuri wa habari akifanyia kazi ITV na Redio One na baadae JK akamteua DC Hai, kule alipo DC mwenye vituko kwa sasa.
Namkumbuka sana alikuwa mwana taaluma mzuri wa habari akifanyia kazi ITV na Redio One na baadae JK akamteua DC Hai, kule alipo DC mwenye vituko kwa sasa.