Lyrics Master
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 470
- 621
- Thread starter
- #81
Nimeshashiba ugali, ngangali,Nafikiria makubwa,
Nataka kuacha ujuba,
Jinsi nilivyo watu wote wanashangaa,
Akili mali (mali)
Mwanzo mkali na mwisho mkali,
Mwanga njoo gizani upate discipline,
Dah hata sikumbuki kama ndiyo verse ziko hivyo hivyo ila kipindi hicho msanii yeyote ana chansi ya kusikika haijalishi anatokea kundi gani.
Hakuna stori za utimu.
Wanaonijua siwajui natembea sina habari,
Wanadai Jos nawachunia washamba hao,
Naanzisha bifu wanachukia,
Mabaya ninayo, mazuri ninayo,
Ila kila Kona madhambi yangu kibao