Yupo wapi Innocent Sahani maarufu kama D Knob?

Nafikiria makubwa,

Nataka kuacha ujuba,

Jinsi nilivyo watu wote wanashangaa,

Akili mali (mali)

Mwanzo mkali na mwisho mkali,

Mwanga njoo gizani upate discipline,

Dah hata sikumbuki kama ndiyo verse ziko hivyo hivyo ila kipindi hicho msanii yeyote ana chansi ya kusikika haijalishi anatokea kundi gani.

Hakuna stori za utimu.
Nimeshashiba ugali, ngangali,
Wanaonijua siwajui natembea sina habari,
Wanadai Jos nawachunia washamba hao,
Naanzisha bifu wanachukia,
Mabaya ninayo, mazuri ninayo,
Ila kila Kona madhambi yangu kibao
 
Nafikiria makubwa,

Nataka kuacha ujuba,

Jinsi nilivyo watu wote wanashangaa,

Akili mali (mali)

Mwanzo mkali na mwisho mkali,

Mwanga njoo gizani upate discipline,

Dah hata sikumbuki kama ndiyo verse ziko hivyo hivyo ila kipindi hicho msanii yeyote ana chansi ya kusikika haijalishi anatokea kundi gani.

Hakuna stori za utimu.
Hii ngoma ilikua na Chorus kali kinoma! dah mziki huu haupo tena sasa hivi tuna Amapiano ama kweli zama zime badilika
 
We naye unakurupuka hujui unachoongea.
Umezaliwa juzi humjui mtu unashuzika kwenye thread

Hao watoto wa era ya kina dimond hawezi kujua kitu huyo D knob kamjulia wapi? John mjema wachumba 30 unadhani anawafahamu, kakuta complex kashafariki akina mabovu ndio kwanza hawajui watoto wa dollsouth, umuulize kama squeezer na keysha anawafahamu, au kama club alicheza ngoma ya kila mmoja anapendeza tishet na jinzi, au kama alitoa kiingilio kwenda kuangalia uzinduzi wa filamu ya girlfriend
 
Wasanii wengi sana wa kipindi cha 2000 hadi 2010 wanatia huruma sana tena sana!
1. Kwenye kundi la wanaume family wengi wao ni choka mbaya,mateja na wengine watapeli

2. TMK family nao ni choka mbaya!

3. Gangwe Mob, Inspector Haruni hua anapiga show hadi ya beer mbili! Mwenzake Luteni Kalama sijui yuko wapi!

4. HB sijui wako wapi, Jay kidogo ndiyo yupo lakini Fanani alikua Teja balaa!

5. University Corner wako wapi
6. Manzese Crew wako wapi
7. Tip Top wako wapi
8. East Coast timu wako wapi
9. BWV wako wapi
10. East zoo wako wapi
11. Zay B
12. Sister P
13. B band wako wapi
14. Matonya yuko wapi
15. Jose Mtambo
16. Dan Msimamo
17. Daz Dundaz wako wapi
Wasanii ni wengi sana wamepotea kutokana na madawa au umri umewaacha!

Wachache sana bado wapo kwenye hit
LACK OF DISCPLINE... HII NI SABABU WATU PIA WANASHINDWA KUPIGA HATUA KWENYE LIFE.. HATA AMBAO SIO WASANII..
 
Enzi zile Forest ya zamani Kuna kijiwe kinaitwa MamaLand...aiseee ilikuwa noma Sana, ukisikia tu huuuuuuaaaaaa!!!!aiiiiiiih... Machizi wangu wa Mbeya Sec walikuwa wanamkubli Sana Mwamba
Mi pia kijana wa Mlelwa wa Mbeya Day enzi hizo kabla kutimkia mbele
 
Kuna vitu tunashindwa kufahamu kwamba Kama shughuli yako ya kupata ridhiki sio rasmi ni vema ukawa makini Sana ...pindi unapopata pesa hasa pesa Kama walizokuwa wakipata hao wasanii..ni lazima uwe una mindset ya kufocus mbali ...mfano kwa miaka hiyo wasanii wengi walikuwa wahitimu wa. Kidato Cha sita so walikuwa na chance za kujiendeleza but walijisahau ..mfano mwanafa mjanja alistuka mapema akaenda ifm..akirudi jioni anakaa maskani chaga bite makumbusho na wakina soggy doggy..ngwea .jaymoe ..Cha ajabu hawakushtuka kwanini mwenzao anakwenda kujiendeleza na anarudi maskani...wakati na wao ni form six Kama yeye matokeo yake mwanafa Yuko vizuri wenzake wanalia njaa...juzi Kati nilimuona ferooz mitaa ya sinza kwa Remy nilitaka kulia .. na pia nilimuona dark master wanatia huruma..solothang Naye alistuka mapema akaomba viza akaenda uingereza akabaki hukohuko..alijua mambo yatabadilika siku moja ndugu yangu jay moe kinachombeba nyumbani maisha mazuri anaishi sinza ndugu zake wote wako ulaya...fidq mjanja kajipendekeza kwa ay na Mambo yameanza kumnyokea...so hii muhimu hata kwa wasanii wa Sasa hivi...huwa nikimuona harmonize hakifanya fujo namuonea huruma Sana anapata pesa nyingi anazichezea na mademu wa kizungu siku moja atalia na kusaga meno...
 
Kuna vitu tunashindwa kufahamu kwamba Kama shughuli yako ya kupata ridhiki sio rasmi ni vema ukawa makini Sana ...pindi unapopata pesa hasa pesa Kama walizokuwa wakipata hao wasanii..ni lazima uwe una mindset ya kufocus mbali ...mfano kwa miaka hiyo wasanii wengi walikuwa wahitimu wa. Kidato Cha sita so walikuwa na chance za kujiendeleza but walijisahau ..mfano mwanafa mjanja alistuka mapema akaenda ifm..akirudi jioni anakaa maskani chaga bite makumbusho na wakina soggy doggy..ngwea .jaymoe ..Cha ajabu hawakushtuka kwanini mwenzao anakwenda kujiendeleza na anarudi maskani...wakati na wao ni form six Kama yeye matokeo yake mwanafa Yuko vizuri wenzake wanalia njaa...juzi Kati nilimuona ferooz mitaa ya sinza kwa Remy nilitaka kulia .. na pia nilimuona dark master wanatia huruma..solothang Naye alistuka mapema akaomba viza akaenda uingereza akabaki hukohuko..alijua mambo yatabadilika siku moja ndugu yangu jay moe kinachombeba nyumbani maisha mazuri anaishi sinza ndugu zake wote wako ulaya...fidq mjanja kajipendekeza kwa ay na Mambo yameanza kumnyokea...so hii muhimu hata kwa wasanii wa Sasa hivi...huwa nikimuona harmonize hakifanya fujo namuonea huruma Sana anapata pesa nyingi anazichezea na mademu wa kizungu siku moja atalia na kusaga meno...
Pesa ya mziki ni ngumu sana kuitunza japo wapo wachache wanaweza kuji control, msanii anajua kesho ata toa ngoma nyingine ita hit atapiga hela
 
Back
Top Bottom