benruby
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 399
- 582
kwa sauti yangu napewa heshima ya real MC,
D.Knob njoo maskani machizi wanakumiss,
na baada ya show nabeba mshiko halafu inakua hivi,
(Mzee Dee)twende club tukabebe mabinti,
sauti yangu ya gharama kama sumaku hivi,
inaleta marafiki, inaleta maadui,
ipo mzigoni kutokana na elimu ya mitaani,
iliyowaingiza darasani, sasa nawapa burudani,
ndiomaana dakika moja mitaaani, ya pili studioni na ya tatu itakuwa sokoni.,
ndiomaana dakika moja mitaani, ya pili studioni yaaaaaaaaaaaaap