Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,191
Me natamani kujua alipo bushoke
Mkali wa sebene na live.. itafute ngoma yke mpya kalii sanaaaa
Me natamani kujua alipo bushoke
Niliwahi sikia yupo South Africa but sjui n kweli.Me natamani kujua alipo bushoke
Ulozi wa mameneja, gombana na tal_ au mkubwa fel uone kama utatudumu kwenye gemu, mondi mwenyewe pamoja na ukubwa wake lakn kwa hao wwl kaufyataAnapiga sho machaka ya kenge mwaka juz nilikuwa job chaka moja la adabu nimetoka camp kwenda kweny ka senta uchwara uko bush ghafla nakuta yupo juu ya fuso wanatangaza atakuwa na show kweny baa sikucheka nilichukia kuona kipaji kama kile kinapotea kizembe nikajiuliza hivi hawa wasanii wa 2000 mpak 2010 walishindwa vip Ku maintain kweny game wakati wanavipaji vikubwa kushinda hawa wa siku hizi
Itakuwa mlima njiwaAnapiga sho machaka ya kenge mwaka juz nilikuwa job chaka moja la adabu nimetoka camp kwenda kweny ka senta uchwara uko bush ghafla nakuta yupo juu ya fuso wanatangaza atakuwa na show kweny baa sikucheka nilichukia kuona kipaji kama kile kinapotea kizembe nikajiuliza hivi hawa wasanii wa 2000 mpak 2010 walishindwa vip Ku maintain kweny game wakati wanavipaji vikubwa kushinda hawa wa siku hizi
Mbona hukunishtuwa Sasa Kama ulionionaYuko katavi eneo moja linaitwa kawajense, mtaa wa ikulu nilimuona mwaka jana sijajua kama bado yuko pale. Ngoja niwaulize wadau
kwamba nakustua tuongee nini? maana hakuna stori tungepiga alafu huna u special kiasi hicho mkuu wa mimi kushoboka.Mbona hukunishtuwa Sasa Kama ulioniona
We ni mwanamke au mwamaume??maana umetoa LA moyoni kimipasho zaidikwamba nakustua tuongee nini? maana hakuna stori tungepiga alafu huna u special kiasi hicho mkuu wa mimi kushoboka.
Njoo pestana pub Dodoma utamkuta weekend na bendi yakeMe natamani kujua alipo bushoke