MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
WanaJF niaje ninaiman kuwa hawa wote wapo ndan ya jamii inayo2zunguka kila cku. Ila ukipewa nafas ya wewe kuchakua yup kat ya hawa unaweza ukaona anaafadhar kuish nae na kwanini unaona anaafadhari kat ya hawa MZUSHI,MMBEYA na MNAFIKI? Na yup ni mbaya zaid ya wenzake?