Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Hhahahhaha,pole baba siku hizi tupo kidigital zaidi,Kumbeee...............hapa sina mtoto, yaani unajua mbinu zote hizo................!
Vijana wa kisasa anapokusaliamia anasubiri tu jibu ili ajue namna ya kukutia mkonon ukijibu kisela naye anaendeleza ivo ivo,ukisema bwa asifiwe utasikia amina dada habari ya uzima yaani huwa wanakua weshajipanga mbaya!!!