Yule mke wa kachero wa TANAPA...

Yule mke wa kachero wa TANAPA...

Huyo mama ni chotara wa kichagga kwa mama na kiarusha/maasai kwa baba so zile elements za kimachame bado anazo kwa saana tuu..

Elements za Kimachame 90%
Elements za Kiarusha 10%
 
Forensics investigation lazima ifanyike kwa kina hapa aisee ni mapema kuwa biased kwa wamachame
 
Yaani wewe ni afadhali ya ISIS una mikakati mikali ya uuaji, ila bora kwa uji kweli kuliko mapanga mkuu


Waweza kuta walijaribu kumuua kwa sumu lakini ikashindikana, panga ndo likaonekana litamaliza kazi faster.
 
Wanawake wa Kimachame,watu mnawachukulia tofauti na uhalisia. ..Ila kwa taarifa wanawake wa Kimachame ni wanawake wazuri sana, na wenye upendo kwa waume zao. watu ambao wameoa Machame wanaweza kuwa thibitishia hilo. hizi habari kwamba ni wakatili hazina mashiko.

Acha kuwadanganya watu halafu waje kujuta baadaye,mimi nina mifano ya wazi kabisa kwa wanaume waliooa wanawake wa kimachame:-

-Mmoja akijinyonga na kamba asubuhi saa 11kwaajili ya mateso kutoka kwa mkewe.

-Mwingine ni juzi tu baada ya kumuoa mmachame akakaa mbali na ndugu zake hata kushirikishana kwenye matukio hakuna tena.

Ukioa mmachame sahau kusaidia ndugu zako,utakuwa unasaidia ndugu zake tu lasivyo utamkoma.
 
ni shidaa kwa kweli..hivi unakatiza uhai wa mwingine ili iweje?je wanadhan hawatakufa..tuwaachie polisi wafanye uchunguz wao tusipende kuhukum jaman...
 
huyu mama alishindwa hata kumuwekea sumu kwenye huo uji... mpaka kutumia panga kweli alikua kishamchoka!!!

hizi ndoa ukifikiria sana unaweza usioe..

yaan ata mm nimefikiria the same,angemuwekea basi ata sumu jaman kuliko kumuua kikatili
 
NAYE ANYONGWE MPAKA AFE,
SASA KIPI AMEPATA?
MPUUZI SANA HUYO MAMA,NASIKIA ALIKUWA NI MIONGONI MWA WAMAMA WA KANISA.
ii
 
Mkuu ndagla, hiyo picha (avatar) nimecheka sana stori yake.....halafu imeibuliwa kipindi cha xmass
That's Jesus' image basing on latest histo-scientific findings.And I call it "Jesus' New Model" teh teh teh.Merry Christmas.
 
Umeandika kama una uhakika sana muuaji ni mke wa marehemu ili hali upelelezi unasema baada ya uchunguzi wa kina kijana wa kazi amekiri kuhusika na mauaji hayo....Wacha tuone kijana atasema ni nani alimpa kazi hiyo...Utata ni mkubwa na ninabanwa na sheria ya makosa ya mtandaoni ningeweza sema jambo..

Mh hiii sasa kasheshe
 
✅Ukiona unagombana na watu sana basi ujue una tatizo,Haiwezekani yaani wewe tu ndio uwe unagombana na watu kila siku,kwa mfano Kuna siku Nilikuwa namjibu mtoa mada lakini jitu from nowhere linani attack utafikiri nimelinyang'anya tonge mdomoni,ukiona comment hauja-qoutiwa wewe just chill and relax maana si ya kwako.
 
Huyo ni mchagga tu a.k.a. majinamizi ya talaka, wasanii wa mapenzi, majambazi ya mapenzi....hili kabila halifai kabisa.
 
Full kujihami, ila ndo nshakusoma na nna kujibu wengine kugombana ni hobby, nisipogombana nakonda na usiombe kunichokoza af nna mood ya kugombana, karibu tugombane kwa mara nyingine tena kama upo bize site chanika ukitoka utanikuta make mie site yangu ni hapa hapa jf
 
Marekebisho kidogo ni mmasai hakuna kabila la waarusha kuna wakazi na wenyeji wa arusha.

Kuna kabila la Waarusha. Mix ya mmasai na mmeru/mchagga.

Wana tamaduni km za wamasai ila uchumi wao ni sedentary km wameru au wachagga.
 
  • Thanks
Reactions: Art
Brand ya wamachame (na by extension wachagga) imeharibiwa sana na Ufoo na yule Kimaro. Hata km hawakuhusika 100%.
 
Acha kuwadanganya watu halafu waje kujuta baadaye,mimi nina mifano ya wazi kabisa kwa wanaume waliooa wanawake wa kimachame:-

-Mmoja akijinyonga na kamba asubuhi saa 11kwaajili ya mateso kutoka kwa mkewe.

-Mwingine ni juzi tu baada ya kumuoa mmachame akakaa mbali na ndugu zake hata kushirikishana kwenye matukio hakuna tena.

Ukioa mmachame sahau kusaidia ndugu zako,utakuwa unasaidia ndugu zake tu lasivyo utamkoma.

Mkuu, huyo aliyejinyonga alikuwa akiishi wapi? Alijinyonga mwaka gani? Maana Nafahamu tukio kama hilo lililotokea mwaka jana kwa mume wa mwanamke wa kabila hilo. Nisingependa kuwazungumza vibaya hao wanawake wa kabila hilo ila sijui kwanini coincidence zinakuwa nyingi.
Kuna jamaa mwingine alikuwa kwenye magazeti, nae alikufa katika mazingira ambayo mpaka leo ndugu zake wanahoji, nae alioa hilo kabila na aliacha mali za maana ikiwamo nyumba mpya ambayo hakuishi ndani yake kwa zaidi ya mwezi.
Inaamsha udadisi kidogo.
 
Back
Top Bottom