Yule Jamaa Owner wa Zeutamu wamem-deadisha?

Alikuwa anamiliki blog aliyoipa jina la ZE UTAMU kazi yake ilikuwa kudhalilisha watu maarufu na kupost picha zao za utupu, iwe kweli au kuzi edit, ikaja fika wakati akajisahau na kuanza kumshambuli kiongozi wa awamu ya nne kwa kumchora picha akiwa amezungukwa na kundi la mrengo wa kina camerron amechorwa akiwa mtupu watu wana "mcameroon" halafu kiongozi anachekaaaa kile kicheko chake meno yote nje. Hapo ndipo alipotafutwa na kuletwa kimya kimya mpaka sasa haijulikani kama alipewa adhabu gani maana hakuwahi kufikishwa mahakani hata mara moja.
Asante ndugu yangu kwakunijuza. Hakika alizidisha uhuru uliovuka mipaka. Kumzaririsha mtu tu wakawaida kwa namna yoyote ile huwa patashika. Sasa vip unapomzaririsha mkuu wa nchi... Duuuuh
 
Alikuwa anamiliki blog aliyoipa jina la ZE UTAMU kazi yake ilikuwa kudhalilisha watu maarufu na kupost picha zao za utupu, iwe kweli au kuzi edit, ikaja fika wakati akajisahau na kuanza kumshambuli kiongozi wa awamu ya nne kwa kumchora picha akiwa amezungukwa na kundi la mrengo wa kina camerron amechorwa akiwa mtupu watu wana "mcameroon" halafu kiongozi anachekaaaa kile kicheko chake meno yote nje. Hapo ndipo alipotafutwa na kuletwa kimya kimya mpaka sasa haijulikani kama alipewa adhabu gani maana hakuwahi kufikishwa mahakani hata mara moja.
Una uhakika aliletwa kimya kimya
 
Hiyo ilikuwa ni blog yangu pendwa enzi hizo miaka ya 2009/2010, baada ya kupita mda Rahatupu ikaja kunipunguzia machungu, na y owner akaamua kuifunga baada ya sheria ya mitandao, sahvi naona iko hewani tena ila bado haijawa hot kama zamani
 
Hiyo ilikuwa ni blog yangu pendwa enzi hizo miaka ya 2009/2010, baada ya kupita mda Rahatupu ikaja kunipunguzia machungu, na y owner akaamua kuifunga baada ya sheria ya mitandao, sahvi naona iko hewani tena ila bado haijawa hot kama zamani
Mkuu kumbe ipo hewani nakumbuka nilikuwa naenda pale cafe maeneo ya k,koo na jero langu naangalia ze utamu nusu saa ,nasepa
 
Hiyo ilikuwa ni blog yangu pendwa enzi hizo miaka ya 2009/2010, baada ya kupita mda Rahatupu ikaja kunipunguzia machungu, na y owner akaamua kuifunga baada ya sheria ya mitandao, sahvi naona iko hewani tena ila bado haijawa hot kama zamani
Ze Utamu ilikuwepo 2009/2010?! Huo muda nadhani ilikuwa ishapigwa ban kitambo!
 
nieleweshe na mi nichangie King Kong III
Haaa Miaka ya 2008-2009 kulitokea Blog moja iliitwa ZeUtamu yaani ilikuwa balaa ilikuwa inachafua watu hatari kuanzia mtu wa uswahili hadi state house,yaani ilikuwa mtu unaangali blog kuona kama umewekwa au lah yaani ilikuwa soo mpaka ikafungiwa na kuanza kumtafuta aliyekuwa admin,kuna tetesi alikamatwa sasa ndio sijajua hatua gani alichukuliwa maana ilikuwa kimya kimya.
 
Haaa Miaka ya 2008-2009 kulitokea Blog moja iliitwa ZeUtamu yaani ilikuwa balaa ilikuwa inachafua watu hatari kuanzia mtu wa uswahili hadi state house,yaani ilikuwa mtu unaangali blog kuona kama umewekwa au lah yaani ilikuwa soo mpaka ikafungiwa na kuanza kumtafuta aliyekuwa admin,kuna tetesi alikamatwa sasa ndio sijajua hatua gani alichukuliwa maana ilikuwa kimya kimya.
Yaliyomtokea ilikuwa ni siri yake, lakini yuko majuu, ameoa binti wa ki-bongo ana watoto wawili, anaendesha biashara ya software.
 
Yaliyomtokea ilikuwa ni siri yake, lakini yuko majuu, ameoa binti wa ki-bongo ana watoto wawili, anaendesha biashara ya software.
Du Si MChezo Kama yupo majuu ni kheri kwake nilijua bado Yupo Kwenye "Mikono SALAMA."
 
Haaa Miaka ya 2008-2009 kulitokea Blog moja iliitwa ZeUtamu yaani ilikuwa balaa ilikuwa inachafua watu hatari kuanzia mtu wa uswahili hadi state house,yaani ilikuwa mtu unaangali blog kuona kama umewekwa au lah yaani ilikuwa soo mpaka ikafungiwa na kuanza kumtafuta aliyekuwa admin,kuna tetesi alikamatwa sasa ndio sijajua hatua gani alichukuliwa maana ilikuwa kimya kimya.

hahahahahahahaha hiyo blog balaaaa, umbea wa kimwendo kasi, embu nijaribu kuifungua na mimi,nilikuwa napitwa
 
Sasa mbona asikiki tangia akamatwe? Unakumbuka kauli aliyoitoa mkwe.ere jana wakati akizungumzia udictator?
Alisema kama yeye angekuwa dikteta hata huyo aliosema hivyo angeogopa,na kama angekua dikteta yule aliyesema hivyo angekua ashapotea na usingemuona tena,sasa swali jamaa(zeutamu) alimdhalilisha sana kwa kutoa pic analiwa tiGO na yeye alienda hadi interpol kumtafuta na wakampata sasa mbona asikiki tena ndo wadau wanauliza au walishamdeadisha?
mkuu king Kong mkwere alikuwa analiwa T*go??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom