Yalinganishe hayo na hasara zilizopatikana baada ya nchi kuingia gizani mwaka 2008. Yalinganishe hayo na hujuma ambazo mzee wa monduli amekuwa akizifanya katika kipindi cha miaka mingi ya uongozi wa JK. Yalinganishe hayo na uwezo wa uongozi alionao Magufuli, jeuri ya kuwaambia watu wasiende nje ya nchi bila ya sababu za msingi. Kama Magufuli angekuwa sio muadilifu angepata wapi jeuri ya kusema hakuna mtu kwenda nje bila ya ruhusa yangu?. Mzee wa monduli angeweza vipi kuwaambia waliomchangia wasiende nje ya nchi wakati biashara zao zipo huko?. Jipangeni, hizi siasa mnazozifanya humu kwenye mitandao zitawapa umaarufu mijini tu, badilikeni.Uwadilifu upi unaosemea? Hivi barabara zs big g nizanani? Nyumba za Serekali? Kufanya maigizo je?
Hasifishiki kwa niniJibu umeshaambiwa
Umenena kiongoziSi hilo tu mwakyembe alitumia njia zote kuaminisha umma wa watz kuwa Edo ndio fisadi kuliko wote achaguliwe jpm ili amchukuliehatua haraka lkn kumbe JK yuko hatarini kila uchao
Alapata kura ngapi mkachakachua hata nyie mnajua na ulimwengu piaHasifishiki kwa nini
Jibu lipi
Kama hayo yote alikua nayo kwanini vasco dagama alimteuwa kua pmYalinganishe hayo na hasara zilizopatikana baada ya nchi kuingia gizani mwaka 2008. Yalinganishe hayo na hujuma ambazo mzee wa monduli amekuwa akizifanya katika kipindi cha miaka mingi ya uongozi wa JK. Yalinganishe hayo na uwezo wa uongozi alionao Magufuli, jeuri ya kuwaambia watu wasiende nje ya nchi bila ya sababu za msingi. Kama Magufuli angekuwa sio muadilifu angepata wapi jeuri ya kusema hakuna mtu kwenda nje bila ya ruhusa yangu?. Mzee wa monduli angeweza vipi kuwaambia waliomchangia wasiende nje ya nchi wakati biashara zao zipo huko?. Jipangeni, hizi siasa mnazozifanya humu kwenye mitandao zitawapa umaarufu mijini tu, badilikeni.
Walikuwapo humu zaidi yakoAlapata kura ngapi mkachakachua hata nyie mnajua na ulimwengu pia
j
sWalikuwapo humu zaidi yako
Leo wametulia
Lowassa ni kitu kisicho wezekana tena kusafishika
Mnapoteza muda
Toa Jibu
Kwanini Hasafishiki!?
Ona na huyu anasemaje![]()
j
![]()
Lowassa alikuwa campaign manager wa JK, ukumbuke kuwa hawa ni watu ambao hawakukutana barabarani. Sio ajabu JK alivumilia mengi wakati wa miaka yake kumi, haswa kipindi kile baada ya Lowassa kujiuzulu. Hata mimi na wewe tunaweza kujikuta kwenye position ya JK maishani mwetu. Busara ndipo zinapohitajika, ukomavu wa akili ndipo unapohitajika.Kama hayo yote alikua nayo kwanini vasco dagama alimteuwa kua pm
Tundu Lissu alisemajeA
s
ANGEKUA MCHAFU ASINGEPATA ZILE MILLIONI 10 NA USHEE
Sasa huo ndio uchakubanga kabisa maana bosy wake ndio wakuwajibishwa sasaLowassa alikuwa campaign manager wa JK, ukumbuke kuwa hawa ni watu ambao hawakukutana barabarani. Sio ajabu JK alivumilia mengi wakati wa miaka yake kumi, haswa kipindi kile baada ya Lowassa kujiuzulu. Hata mimi na wewe tunaweza kujikuta kwenye position ya JK maishani mwetu. Busara ndipo zinapohitajika, ukomavu wa akili ndipo unapohitajika.
Yesu alisema ufalme wangu sio wa dunia hii, maana yake ni kwamba yale ya dunia ingawa yanapita na yanadumu kwa muda mfupi, bado yanaweza kutufanya tukapoteza utu na kila chembe ya wema ndani yetu.
Tundu Lissu alisemaje![]()
"Anae Muunga Mkono Lowassa Akapimwe Akili"
Una chuki na Mwakyembe tuSi hilo tu mwakyembe alitumia njia zote kuaminisha umma wa watz kuwa Edo ndio fisadi kuliko wote achaguliwe jpm ili amchukuliehatua haraka lkn kumbe JK yuko hatarini kila uchao
Je Mlimchukulia atua zipi?Una chuki na Mwakyembe tu
Na hiije![]()
Wakuwajibishwa ni yeye kwani bosi wake hakuhusika moja kwa moja na richmond. Aliyeundiwa tume ni yeye EL na sio JK, yeye aliikingia kifua richmond kuanzia mwanzo mpaka mwisho, halafu jamii inadanganywa kwamba yeye alijiuzulu kwa sababu ya kubebeshwa mzigo wa dhambi za wengine, alijiuzulu kwa sababu ya mzigo wa dhambi zake yeye kama waziri mkuu. Ndio maana nakwambia tuongee mambo ya leo hii, hayo ya Lowassa yametokea mwaka 2008, mtoto aliyezaliwa mwaka huo, mwaka huu anafikisha miaka nane, yupo darasa la pili.Sasa huo ndio uchakubanga kabisa maana bosy wake ndio wakuwajibishwa sasa
Miaka yote mlisubiri nini msimpeleke Mahakamani? Mahakama ya mafisadi ipo wapi tuone kama ataenda Freeman Mbowe amewatajia mafisadi papa 3 juzi ndio kwanza wanapishana magogoni kama bata na majiWakuwajibishwa ni yeye kwani bosi wake hakuhusika moja kwa moja na richmond. Aliyeundiwa tume ni yeye EL na sio JK, yeye aliikingia kifua richmond kuanzia mwanzo mpaka mwisho, halafu jamii inadanganywa kwamba yeye alijiuzulu kwa sababu ya kubebeshwa mzigo wa dhambi za wengine, alijiuzulu kwa sababu ya mzigo wa dhambi zake yeye kama waziri mkuu. Ndio maana nakwambia tuongee mambo ya leo hii, hayo ya Lowassa yametokea mwaka 2008, mtoto aliyezaliwa mwaka huo, mwaka huu anafikisha miaka nane, yupo darasa la pili.
HahahaA
s
ANGEKUA MCHAFU ASINGEPATA ZILE MILLIONI 10 NA USHEE
Ujuha nimbaya sana hizo ni kura unawaza hela mnazolipwaga hapo lumumba kwakuandika uchafu wenu humuHahaha
Nahisi umepitiwa sio
Milioni 10
Bilioni 10
Http://fullhabari.blogspot.com/2015/07/bilion-10-za-lowasa-zaangamiza-ukawa.html?m=1
Alipataje kura milioni 10Ndio maana
Wakasema![]()