Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
1. Rais ni kiongozi wa serikali
2. Rais ni sehemu ya bunge. Bila saini yake muswada Hauwezi kuwa sheria na ana uwezo wa kulivunja bunge
3. Rais ni mamlaka ya uteuzi na ya hidhamu ya Jaji mkuu, majaji wote wa rufaa, majaji wote wa mahakama kuu etc.
Thank YOU
2. Rais ni sehemu ya bunge. Bila saini yake muswada Hauwezi kuwa sheria na ana uwezo wa kulivunja bunge
3. Rais ni mamlaka ya uteuzi na ya hidhamu ya Jaji mkuu, majaji wote wa rufaa, majaji wote wa mahakama kuu etc.
Thank YOU