Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #161
Nanuku hata dunia inajuaJina plz, maana unajiita mwanahabari huru
Nanuku hata dunia inajuaJina plz, maana unajiita mwanahabari huru
Nan? Mbona unazunguka tu, au ukisema jina utapigwa, m simfaham mtaje ili nimjueNanuku hata dunia inajua
Tulishaweka sana hapa lakini ilipigwa kibuti kama jinsi Freeman alivyo wataja majipu papa watatu lakini ndio kwanza wanapishana magogoniIkiwa unadhani kuwa CCM ndio imemfikisha pabaya mtanzania, tumia nguvu zako zote kumkwamua. Uje na wazo lenye suluhisho na sio kukwamia kwenye mijadala ya Lowassa na Magufuli. Uje na mtazamo wenye kitu mbadala vinginevyo utakuwa unapoteza muda wako bure katika kufikiria mambo ambayo huna mamlaka wala akili zenye ubunifu wa kuyafanikisha.
Huyo mbowe haaminiki si ndio huyu huyu nae alisema anaishangaa serikali kuwafunga vibaka nakumwacha fisadi papa lowasa?Tulishaweka sana hapa lakini ilipigwa kibuti kama jinsi Freeman alivyo wataja majipu papa watatu lakini ndio kwanza wanapishana magogoni
Unarudia kosa lile lile, unamtaja Freeman kama vile ni mtu msafi wakati na yeye ni jipu, ni tatizo kama yalivyo matatizo mengine. Unarudia mambo ambayo tumeshayaongea leo hii. Freeman hana usafi wa kimaadili wa kuwanyooshea kidole watu wengine. Alipaswa kuwa ameshakabidhi uenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 2014, akiwa anamalizi kipindi cha pili cha uongozi wake, ametumia ushawishi wake mpaka ameongeza muda wa uongozi. Freeman ni tatizo pia, hajawahi kuwa sehemu ya suluhisho. CHADEMA kwa kumpokea Lowassa, kwa freeman kumpatia nafasi ya ugombea urais huku akijua rekodi zake ndani ya CCM, tayari ulikuwa ni ushahidi wa upotezaji wa maadili wa CHADEMA. Jitahidi utafakari mambo kwa undani kabla hujaandika kitu.Tulishaweka sana hapa lakini ilipigwa kibuti kama jinsi Freeman alivyo wataja majipu papa watatu lakini ndio kwanza wanapishana magogoni
Angelua aminiki msingekua mnaweweseka mkimsikiaHuyo mbowe haaminiki si ndio huyu huyu nae alisema anaishangaa serikali kuwafunga vibaka nakumwacha fisadi papa lowasa?
Kwa Mujibu wa Katiba ya Lumumba?Unarudia kosa lile lile, unamtaja Freeman kama vile ni mtu msafi wakati na yeye ni jipu, ni tatizo kama yalivyo matatizo mengine. Unarudia mambo ambayo tumeshayaongea leo hii. Freeman hana usafi wa kimaadili wa kuwanyooshea kidole watu wengine. Alipaswa kuwa ameshakabidhi uenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 2014, akiwa anamalizi kipindi cha pili cha uongozi wake, ametumia ushawishi wake mpaka ameongeza muda wa uongozi. Freeman ni tatizo pia, hajawahi kuwa sehemu ya suluhisho. CHADEMA kwa kumpokea Lowassa, kwa freeman kumpatia nafasi ya ugombea urais huku akijua rekodi zake ndani ya CCM, tayari ulikuwa ni ushahidi wa upotezaji wa maadili wa CHADEMA. Jitahidi utafakari mambo kwa undani kabla hujaandika kitu.
Yaani serikali iweweseke kwa ajili ya mbowe naona taratibu mnaanza kuchanganyikiwa sasa.tena serikali ya Magufuli kabisa.nyie tulieni muyale matapishi yenu.Angelua aminiki msingekua mnaweweseka mkimsikia
Katiba ya chama cha familia ya mzee Mtei kinachoitwa CHADEMA, ambacho kwa sasa kipo chini ya mume wa binti wa mzee huyo ambaye aliwahi kuwa gavana wa benki kuu ya Tanzania katika miaka ya sitini. Katiba ya CHADEMA ilibadilishwa ili Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti, sitashangaa ikifika mwaka 2019 katiba hiyo ikafanyiwa mabadiliko kwa mara nyingine tena ili mkwe wa mzee Mtei aendelee kuwa mwenyekiti.Kwa Mujibu wa Katiba ya Lumumba?
Hahah naona unasahau ule usemao nyani aoni kundule maana wenzako wanahahaYaani serikali iweweseke kwa ajili ya mbowe naona taratibu mnaanza kuchanganyikiwa sasa.tena serikali ya Magufuli kabisa.nyie tulieni muyale matapishi yenu.
Hiyo katiba unayoisemea wewr ni ile inayokaa kwenye mfuko wa vasco dagama anachomoa tuu nakusomaKatiba ya chama cha familia ya mzee Mtei kinachoitwa CHADEMA, ambacho kwa sasa kipo chini ya mume wa binti wa mzee huyo ambaye aliwahi kuwa gavana wa benki kuu ya Tanzania katika miaka ya sitini. Katiba ya CHADEMA ilibadilishwa ili Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti, sitashangaa ikifika mwaka 2019 katiba hiyo ikafanyiwa mabadiliko kwa mara nyingine tena ili mkwe wa mzee Mtei aendelee kuwa mwenyekiti.
Usijitoe akili ujumbe wangu umeuelewa vizuri sana, huyo Freeman sio wa kuwanyooshea watu vidole, ni mchafu kisiasa kama wengine wote.Hiyo katiba unayoisemea wewr ni ile inayokaa kwenye mfuko wa vasco dagama anachomoa tuu nakusoma
Sijaona anayehaha labda wewe ndo unayehaha kusema huyu mmiliki mpya wa saccos asitokee mtu wakumsema kwa ufisadi huku ukisahau chadema hikihiki ndo kilichoanza kumnanga huyu lowasa mpaka basi kikizunguruka nchi nzima kutuaminisha fisadi papa ushaidi wanao lukuki kumbe njaa tu Leo yako wapi.Hahah naona unasahau ule usemao nyani aoni kundule maana wenzako wanahaha
Wale ambao walipewa kazi ya kumtetea wakati wa kampeni, walifanya kazi ya bure kabisa ya kumkashifu kabla hajapigwa chini CCM, waswahili wanasema mchawi mpe mwana amlee, ndicho alichokifanya Lowassa. Aliamua kwenda kujiunga na CHADEMA, chama ambacho kilitumia nguvu kubwa katika kumchafua kabla hajaamua kujiunga nacho. Naona unajaribu kuikwepa pointi yangu ambayo umei quate, tena kwa makusudi kabisa, Lowassa ni mmoja wa watuhumiwa wa mwembe yanga, sasa waliomtaja kama ni fisadi kule mwembe yanga ni wana CCM?. Kwanini hao hao ambao waliiambia public kwamba Lowassa ni mmoja wa watuhumiwa, wameshindwa kumsafisha kwa kutumia njia ile ile waliyotumia kumchafua?. Theatre ndogo inaanzia CHADEMA, kabla ya uongozi wa juu wa serikali haujaanza kutafuta mikasi na pamba ziko wapi.
Msafi wa ccm ni yupi?Usijitoe akili ujumbe wangu umeuelewa vizuri sana, huyo Freeman sio wa kuwanyooshea watu vidole, ni mchafu kisiasa kama wengine wote.
Bosa wake je?Inakua shida kdg kumtumbua njeree coz wenye ushahidi ndo yuko nao kwa sasa
Kwa ushaidi upi wa Lumumba usisminishe watu ujinga akiwa yeye fisadi je Vasco Dagama atakua ni nani?Hakuna kificho lowassa ni fisadi papa.