Yule anayethubutu kusema Lowassa Fisadi

Yule anayethubutu kusema Lowassa Fisadi

Wachakachuaji wakubwa ni nyinyi mlioandaa tume feki ya uchaguzi mkakutana na watu waliojiandaa mapema kabla yenu. Mliajiri mpaka watu wa mataifa ya nje ili mradi tu muingie ikulu, bahati mbaya sana awamu ya tano haina bajeti ya juisi wala vitafunio, mtakunywa maji ya UHAI halafu mseme shida yenu halafu mnapewa mkono wa kwaheri. Mwanahabari hizi habari tunazoendela kuzijadili hazitusaidii, mimi na wewe. Tuangalie namna gani nchi hii tunaweza kuijenga, kuliko kuishia kwenye maneno mengi ambayo hayaendani na shida zetu nyingi.
Umesahau ya vijana 46 hao juzi waliopongezwa walikua wanafanya nini? Leo mefanya nini ya umeya? Chama chakavu bana
 
Hapa kuna wagomvi wa Lowasa wa siku Nyingi tu kati yake na baadhi ya watu,hao wataalam wa kucheza na akili za watu walifanikiwa 'spinning doctors' wakawateka wapinzani na watanzania wengi kwa kuuaminisha kuwa bwana Lowasa ni mwizi na FISADI Mkuu na BWANA JK alitumia vizuri sana karata kupitia ndugu NAPE Nnauye KUBWAGA na kupoteza Lowasa kwenye Njia ya kupata urais.

Kama mnakumbuka sawasawa NAPE alitumia mkataba wa jengo la Umoja wa vijana CCM TAIFA kumsema waziwazi Lowasa ,na kipindi hicho kama Sijakosea nape aligombea nafasi ya uenyekiti wa UVCCM TAIFA akakosa.

Binafsi na ujasiri wa Lowasa kuhama CCM na kwenda Upinzani Binafsi naamin hakuna ukweli wa kile kinachosemwa na kilichosemwa.leo hii tunaambiwa Lowasa anaukwasi wa kutisha ila tukisema vitajwe hakuna mwenye ushahidi ndio maana hata CHADEMA walimpokea baada ya kugundua wale waliokua wanawapa habari kuwa Jamaa mwizi hawakua wakweli,.
Ila kuhamia Upinzani isiwe tiketi ya kuachwa kna mwizi kweli
 
Hapa kuna wagomvi wa Lowasa wa siku Nyingi tu kati yake na baadhi ya watu,hao wataalam wa kucheza na akili za watu walifanikiwa 'spinning doctors' wakawateka wapinzani na watanzania wengi kwa kuuaminisha kuwa bwana Lowasa ni mwizi na FISADI Mkuu na BWANA JK alitumia vizuri sana karata kupitia ndugu NAPE Nnauye KUBWAGA na kupoteza Lowasa kwenye Njia ya kupata urais.

Kama mnakumbuka sawasawa NAPE alitumia mkataba wa jengo la Umoja wa vijana CCM TAIFA kumsema waziwazi Lowasa ,na kipindi hicho kama Sijakosea nape aligombea nafasi ya uenyekiti wa UVCCM TAIFA akakosa.

Binafsi na ujasiri wa Lowasa kuhama CCM na kwenda Upinzani Binafsi naamin hakuna ukweli wa kile kinachosemwa na kilichosemwa.leo hii tunaambiwa Lowasa anaukwasi wa kutisha ila tukisema vitajwe hakuna mwenye ushahidi ndio maana hata CHADEMA walimpokea baada ya kugundua wale waliokua wanawapa habari kuwa Jamaa mwizi hawakua wakweli,.
Ila kuhamia Upinzani isiwe tiketi ya kuachwa kna mwizi kweli
Ulafi wa madaraka unakimaliza chama cha machafuko
 
Na Mbacho zaidi ya Mara Tatu kinachukua ushindikimabavu aka ukurunzinza?
UKAWA jipangeni, fikeni vijijini hizi siasa za kwenye jamiiforum, facebook na twitwer haziwezi kukupeni kitu chochote kipya cha maana. Huu muda mpaka 2020 utumieni kwa kuwa karibu na wananchi kadri inavyowezekana, vinginevyo mtaishia kuisoma namba, mtaishia kutimuliwa vumbi.
 
Conspiracy zilikua Nyingi mno sana wapiga ramli wakaaminisha watu kuw atakufa akiwa jukwaani mara atakufa jina lake likikatwa

Mmmmhh basi

Kutoka sakafu ya MOYO wangu huyu mzee ni mvumilivu sana kama vikwazo kapitia vingi kazushiwa mengi
 
Yule anaethubutu kusema Lowassa ni Fisadi Mpaka leo hii akapimwe akili.


Nchi hii ina Mihimili mitatu.
Raisi
Bunge
Mahakama.

Eti Pamoja na Tumbua tumbua ya Majipu na Chunusi zake bado tu Lowassa hajatumbuliwa.

Bado unasema tu Lowassa ni Fisadi?

Angekuwa CCM tungesema serikali inamlinda kwa kuwa serikali ya CCM ni serikali ya kulindana.

Lakini Pamoja na kuhama kwenda Upinzani lkn bado hajatumbuliwa tu bado? Bado unaamini Lowassa ni Fisadi?

Pamoja na Utumbuaji wa Majipu huu unaozingatia Sifa, Kick, KujikombaKomba, mihemko.

Hebu niambie ni nani ambae hapendi sifa za Kumtumbua Lowassa? Kama Fisadi Papa?
Hata JMP mwenyewe anapenda sana angeweza kupata nafasi ya kumtumbua Lowassa kama Fisadi. Lakini Utamtumbuaje mtu ambae hana Jipu?

JMP alitangaza Mahakama ya Mafisadi, Kwa jinsi Lowassa alivyokua anahubiriwa kuwa ni Fisadi nilijua Lowassa angefanya uzinduzi wa Mahakama ya Mafisadi na Kuweka historia kuwa Mtu wa Kwanza kuhukumiwa kwenye Mahakama ya Mafisadi ni E. N. Lowassa.

Bila shaka hata Magufuli anapenda sana kupata sifa ya kumtumbua mtu mkubwa.

Pamoja na JMK kutamka hadharani kuwa, washughulikiwe wale wote waliokihujumu chama. Mi nadhani kila alie madarakani sasa hivi Anatamani kushughulikia wale waliokihujumu chama na Mmoja wapo ni LOWASSA ili apate sifa na Kick.

ila swali langu ni kwamba, Utamtumbuaje mtu ambae hana jipu?

Ndo maana Nikasema kwamba ANAEAMINI MPKA LEO HII KUWA LOWASSA NI JIPU AU NI FISADI AKAPIMWE AKILI.

Bila shaka kama sio tu uwezo wa kufikiria ni Mdogo sana, Basi ni Zero kabisa.


Kusoma hujui, Hata picha huoni?

"Anae Muunga Mkono Lowassa Akapimwe Akili"
 
  • Thanks
Reactions: nao
UKAWA jipangeni, fikeni vijijini hizi siasa za kwenye jamiiforum, facebook na twitwer haziwezi kukupeni kitu chochote kipya cha maana. Huu muda mpaka 2020 utumieni kwa kuwa karibu na wananchi kadri inavyowezekana, vinginevyo mtaishia kuisoma namba, mtaishia kutimuliwa vumbi.
Wanaosema number ni Chadema au ccm kwa sasa? Shirikisha ubongo. Kwani uchaguzi si mlifanya figisu lakini uwalisia si mlilala doro
 
Umesahau ya vijana 46 hao juzi waliopongezwa walikua wanafanya nini? Leo mefanya nini ya umeya? Chama chakavu bana
Lowassa ni Jizi
Tetea ujuavyo
Na kamwe HATA MTAMBIKIE VIPI YEYE NA IKULU
ATAIONA KWENYE GAZETI LA ZUZU KUBENEA
 

"Anae Muunga Mkono Lowassa Akapimwe Akili"

Cc

Hapa kuna wagomvi wa Lowasa wa siku Nyingi tu kati yake na baadhi ya watu,hao wataalam wa kucheza na akili za watu walifanikiwa 'spinning doctors' wakawateka wapinzani na watanzania wengi kwa kuuaminisha kuwa bwana Lowasa ni mwizi na FISADI Mkuu na BWANA JK alitumia vizuri sana karata kupitia ndugu NAPE Nnauye KUBWAGA na kupoteza Lowasa kwenye Njia ya kupata urais.

Kama mnakumbuka sawasawa NAPE alitumia mkataba wa jengo la Umoja wa vijana CCM TAIFA kumsema waziwazi Lowasa ,na kipindi hicho kama Sijakosea nape aligombea nafasi ya uenyekiti wa UVCCM TAIFA akakosa.

Binafsi na ujasiri wa Lowasa kuhama CCM na kwenda Upinzani Binafsi naamin hakuna ukweli wa kile kinachosemwa na kilichosemwa.leo hii tunaambiwa Lowasa anaukwasi wa kutisha ila tukisema vitajwe hakuna mwenye ushahidi ndio maana hata CHADEMA walimpokea baada ya kugundua wale waliokua wanawapa habari kuwa Jamaa mwizi hawakua wakweli,.
Ila kuhamia Upinzani isiwe tiketi ya kuachwa kna mwizi kweli
 
Wanaosema number ni Chadema au ccm kwa sasa? Shirikisha ubongo. Kwani uchaguzi si mlifanya figisu lakini uwalisia si mlilala doro
Kwa akili timamu kabisa Lowassa hamfikii hata robo Rais Magufuli. Nyinyi baada ya kufanya kosa la kiufundi la kumchukua mtu aliyekulia CCM, mlikuwa mmeshajichimbia kaburi, mlikuwa mmeshajimaliza. Lowassa anao ujanja wa kutengeneza mitandao ya marafiki wenye fedha, anao uwezo mkubwa wa kufanya biashara lakini kwenye leadership hana uwezo kumzidi Magufuli. Hana conviction kama Magufuli, sio mfuatiliaji wa kiwango cha Magufuli. Hana uadilifu kumzidi Magufuli. Jipangeni kweli, mkitegemea huruma na zile kura za mahaba, itakula kwenu jumla, halafu mtasahaulika haraka sana.
 
Naona ndio umetokea kwenye chupa za Lumumba soma comment za wenzako imeshajibiwa wewe kilamba mwiko wa Lumumba
Hahaha
Jibu na hili
a4920b247950b585ca7345aec5085ab5.jpg

"Anae Muunga Mkono Lowassa Akapimwe Akili"
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kwa akili timamu kabisa Lowassa hamfikii hata robo Rais Magufuli. Nyinyi baada ya kufanya kosa la kiufundi la kumchukua mtu aliyekulia CCM, mlikuwa mmeshajichimbia kaburi, mlikuwa mmeshajimaliza. Lowassa anao ujanja wa kutengeneza mitandao ya marafiki wenye fedha, anao uwezo mkubwa wa kufanya biashara lakini kwenye leadership hana uwezo kumzidi Magufuli. Hana conviction kama Magufuli, sio mfuatiliaji wa kiwango cha Magufuli. Hana uadilifu kumzidi Magufuli. Jipangeni kweli, mkitegemea huruma na zile kura za mahaba, itakula kwenu jumla, halafu mtasahaulika haraka sana.
Uwadilifu upi unaosemea? Hivi barabara zs big g nizanani? Nyumba za Serekali? Kufanya maigizo je?
 
Hapa kuna wagomvi wa Lowasa wa siku Nyingi tu kati yake na baadhi ya watu,hao wataalam wa kucheza na akili za watu walifanikiwa 'spinning doctors' wakawateka wapinzani na watanzania wengi kwa kuuaminisha kuwa bwana Lowasa ni mwizi na FISADI Mkuu na BWANA JK alitumia vizuri sana karata kupitia ndugu NAPE Nnauye KUBWAGA na kupoteza Lowasa kwenye Njia ya kupata urais.

Kama mnakumbuka sawasawa NAPE alitumia mkataba wa jengo la Umoja wa vijana CCM TAIFA kumsema waziwazi Lowasa ,na kipindi hicho kama Sijakosea nape aligombea nafasi ya uenyekiti wa UVCCM TAIFA akakosa.

Binafsi na ujasiri wa Lowasa kuhama CCM na kwenda Upinzani Binafsi naamin hakuna ukweli wa kile kinachosemwa na kilichosemwa.leo hii tunaambiwa Lowasa anaukwasi wa kutisha ila tukisema vitajwe hakuna mwenye ushahidi ndio maana hata CHADEMA walimpokea baada ya kugundua wale waliokua wanawapa habari kuwa Jamaa mwizi hawakua wakweli,.
Ila kuhamia Upinzani isiwe tiketi ya kuachwa kna mwizi kweli

Hahaha
Jibu na hili
a4920b247950b585ca7345aec5085ab5.jpg

"Anae Muunga Mkono Lowassa Akapimwe Akili"
 
Back
Top Bottom