kisekekwetu
Member
- Sep 11, 2014
- 42
- 16
Umeongea kizembe kweli! Umetumwa!
Ni hao hao sawa. Wanasema wakiwa kwenye nafasi ipi?VIONGOZI WA CCM AMBAO NDIO HAO HAO WA SEREKALI
Ni vyama vya siasa tena hiki chama kinakurupuka tu chadema ushahidi mnyika, Msigwa, lema hadi lissu wanao.Anayosema Lowassa ni fisadi ni serikali au vyama vya siasa?
Matusi niyapi hapo wakati ukweli utakuweka huru Yuna na Mramba si mliwapeleka Gerezani kwanini Mlimshindwa Lowassa?Naona kwa makusudi kabisa kama ilivyotabia yenu umeamua kuja na kinga ya matusi baada ya kushindwa na hoja.
Kwanini Mliweza kumpeleka Yona na Mramba lakini Lowassa meshindwa?Ni vyama vya siasa tena hiki chama kinakurupuka tu chadema ushahidi mnyika, Msigwa, lema hadi lissu wanao.
Akina Lema wakileta ushahidi bila shaka atapelekwa. Maana waliimba sana. Je wakibanwa watoe ushahidi itakuwa kuwaonea?Kwanini Mliweza kumpeleka Yona na Mramba lakini Lowassa meshindwa?
Ni hivi labda nikueleze kwa lugha nyepesi kabisa Serikali haijawahi kumtuhumu lowasa kua ni fisadi ila waliomtuhumu ni chadema walizunguka nchi nzima kuwaaminisha wananchi lowasa ni fisadi papa.Matusi niyapi hapo wakati ukweli utakuweka huru Yuna na Mramba si mliwapeleka Gerezani kwanini Mlimshindwa Lowassa?
Je mlimchukulia hatua gani ndani ya 8.yearsAkina Lema wakileta ushahidi bila shaka atapelekwa. Maana waliimba sana. Je wakibanwa watoe ushahidi itakuwa kuwaonea?
Maana kwenye majukwa mlikua mnaimba tuu?Ni hivi labda nikueleze kwa lugha nyepesi kabisa Serikali haijawahi kumtuhumu lowasa kua ni fisadi ila waliomtuhumu ni chadema walizunguka nchi nzima kuwaaminisha wananchi lowasa ni fisadi papa.
Rejea mkutano wa mwembe yanga wa chadema uliotaja mafisadi papa lowasa akiwa no 11 na wakadai ushahidi wanao Mnyika, lema,Msigwa na lissu katka mazungumzo yao mbali walisema ushaidi upo pale ufipa.
Sasa tuwaulize chadema kama ushahidi walikua nao kuwa lowasa ni fisadi papa kwanini hawakumpeleka mahakamani? Nakwanini wakampa nafasi muhimu ya kugombea urais ili hali wakiwa na ushaidi wa ufisadi wake?
Kweli naongea na mtu asiejua hii historia ya ufisadi wa lowasaMaana kwenye majukwa mlikua mnaimba tuu?
Hatua ya kwanza kukata jina lake kugombea urais. Ilidhaniwa kwamba vyama vyote makini watamtema. Angalau tumejua kuna vyama Saccos. Unavinunua tu kama bidhaa yoyote.Je mlimchukulia hatua gani ndani ya 8.years
Maana vyama vyote vinatekeleza ilani ya chama cha Machafuko la viongozi kutembea na vikaratasi kwenye mifuko yaoHatua ya kwanza kukata jina lake kugombea urais. Ilidhaniwa kwamba vyama vyote makini watamtema. Angalau tumejua kuna vyama Saccos. Unavinunua tu kama bidhaa yoyote.
Nyie mnaejua mlimfanya nini?Kweli naongea na mtu asiejua hii historia ya ufisadi wa lowasa
hata rostam azizi anashutuma za ufisadi. usopiteze afya yako na muda badala yake ngojea tu hao mabwana zako wakiingia 18 za jpm magufuli one usaa kama itafika kilo moja su vipi.Yule anaethubutu kusema Lowassa ni Fisadi Mpaka leo hii akapimwe akili.
Nchi hii ina Mihimili mitatu.
Raisi
Bunge
Mahakama.
Eti Pamoja na Tumbua tumbua ya Majipu na Chunusi zake bado tu Lowassa hajatumbuliwa.
Bado unasema tu Lowassa ni Fisadi?
Angekuwa CCM tungesema serikali inamlinda kwa kuwa serikali ya CCM ni serikali ya kulindana.
Lakini Pamoja na kuhama kwenda Upinzani lkn bado hajatumbuliwa tu bado? Bado unaamini Lowassa ni Fisadi?
Pamoja na Utumbuaji wa Majipu huu unaozingatia Sifa, Kick, KujikombaKomba, mihemko.
Hebu niambie ni nani ambae hapendi sifa za Kumtumbua Lowassa? Kama Fisadi Papa?
Hata JMP mwenyewe anapenda sana angeweza kupata nafasi ya kumtumbua Lowassa kama Fisadi. Lakini Utamtumbuaje mtu ambae hana Jipu?
JMP alitangaza Mahakama ya Mafisadi, Kwa jinsi Lowassa alivyokua anahubiriwa kuwa ni Fisadi nilijua Lowassa angefanya uzinduzi wa Mahakama ya Mafisadi na Kuweka historia kuwa Mtu wa Kwanza kuhukumiwa kwenye Mahakama ya Mafisadi ni E. N. Lowassa.
Bila shaka hata Magufuli anapenda sana kupata sifa ya kumtumbua mtu mkubwa.
Pamoja na JMK kutamka hadharani kuwa, washughulikiwe wale wote waliokihujumu chama. Mi nadhani kila alie madarakani sasa hivi Anatamani kushughulikia wale waliokihujumu chama na Mmoja wapo ni LOWASSA ili apate sifa na Kick.
ila swali langu ni kwamba, Utamtumbuaje mtu ambae hana jipu?
Ndo maana Nikasema kwamba ANAEAMINI MPKA LEO HII KUWA LOWASSA NI JIPU AU NI FISADI AKAPIMWE AKILI.
Bila shaka kama sio tu uwezo wa kufikiria ni Mdogo sana, Basi ni Zero kabisa.
Kusoma hujui, Hata picha huoni?
Sisi hatukua tunajua ila baada ya hiki chama chetu chenye mapenzi mema na wananchi na uzalendo kutupasha hizi habari tukadhani sasa huyu fisadi papa lazima afungwe na ushahidi upo kabisa heeee ghafla bin vuuuu tukaambiwa lowaaaasaaaaaaa mabadilikooooo tukaachwa gizani tusijue kulikoni tena? Ushahidi wanao mbona hajapelekwa mahakamani badala yake tunaambiwa tuchague mabadiliko Mh tumeachwa kwenye mabadiliko mapya hata hatuelewi .Nyie mnaejua mlimfanya nini?
Kama mliwashindwa mkiwa nao ndio sasa hivi mekula ys chuyahata rostam azizi anashutuma za ufisadi. usopiteze afya yako na muda badala yake ngojea tu hao mabwana zako wakiingia 18 za jpm magufuli one usaa kama itafika kilo moja su vipi.
Baada ya miaka nane ndio juzi meambiwa? Mramba na yona....Sisi hatukua tunajua ila baada ya hiki chama chetu chenye mapenzi mema na wananchi na uzalendo kutupasha hizi habari tukadhani sasa huyu fisadi papa lazima afungwe na ushahidi upo kabisa heeee ghafla bin vuuuu tukaambiwa lowaaaasaaaaaaa mabadilikooooo tukaachwa gizani tusijue kulikoni tena? Ushahidi wanao mbona hajapelekwa mahakamani badala yake tunaambiwa tuchague mabadiliko Mh tumeachwa kwenye mabadiliko mapya hata hatuelewi .
Kama kunawatu wanajitoa ufaham mkuu ni cdm, wwamesahau kuwa walimuarika fisadi edo ili awe rais, halafu wakasahau kuwa walitumia miaka zaid 7, kutuambia ni fisadi, na ushahidi upo, halafu wakatumia nusu saa yaan dk30, kutuambia edo si fisadi, asee itz only in tz,Mkapa ilikuwa aachie uongozi mwaka 2007 akaamua kuondoka 2005. Kikwete anatakiwa aondoke 2017 na anaweza kuondoka mapema zaidi. Hivyo ndivyo vyama vya siasa vinavyoongozwa. Haviwi ni mali ya watu wachache tu, lazima uwepo utaratibu wa madaraka ya juu kuachwa kwa viongozi wanaoibuka kila kukicha. CHADEMA ni jina zuri lakini kwa ustaarabu wa mtu mmoja tu kuwa mwenyekiti, lile neno DE linalosimama kwa niaba ya demokrasia, linapoteza maana.