Yule anayethubutu kusema Lowassa Fisadi

Yule anayethubutu kusema Lowassa Fisadi

mkitaka kujua Lowasa ni fisadi muulizeni Tundu lissu, Dr Slaa, Dr Mwakyembe ,Mbowe, Kubenea, Lema, yaani ni aibu. lakini ingekuwa bora wakaja tena kwa wananchi nchi nzima wakamsafisha ili imani waliyoijenga kwa wananchi ifutike.
Kama umefwatila mjadala jibu umelipata kwa manufa mlianza kuchafuana huko ccm aka chama cha machafuko kwa jili ya maslai yenu binafsi mkawaminisha watanzania wote kwa ujumla lakini ukweli ulivyojulikana watu wamewakata
 
Hatua ya kwanza kukata jina lake kugombea urais. Ilidhaniwa kwamba vyama vyote makini watamtema. Angalau tumejua kuna vyama Saccos. Unavinunua tu kama bidhaa yoyote.

Kama CCM hawakuwa na ushahidi wa ufisadi wa Lowasa basi alikatwa jina lake kwa fitna na majungu period. Sasa naanza kuamini kuwa mhusika mkuu wa Richmond ni yule aliyetajwa na Lissu ambaye ndiye aliyesimamia kikao cha CC kuchuja majina ya wagombea wa CCM. Na ambaye leo hii Magufuli anasumbuka kutumbua majipu aliyoyaumua yeye. Very interesting!
 
Baada ya ukweli kujulikana hana ufisadi wowote mafisadi na majipu juzi Freeman Mbowe amewataja
chengine ni kwamba , watanzania wengi walijua yale makampuni yaliyokwepa kodi na kupitisha makontena bila kulipa kodi , robo 3 ama labda yote ni ya lowassa !
 
Wale ambao walipewa kazi ya kumtetea wakati wa kampeni, walifanya kazi ya bure kabisa ya kumkashifu kabla hajapigwa chini CCM, waswahili wanasema mchawi mpe mwana amlee, ndicho alichokifanya Lowassa. Aliamua kwenda kujiunga na CHADEMA, chama ambacho kilitumia nguvu kubwa katika kumchafua kabla hajaamua kujiunga nacho. Naona unajaribu kuikwepa pointi yangu ambayo umei quate, tena kwa makusudi kabisa, Lowassa ni mmoja wa watuhumiwa wa mwembe yanga, sasa waliomtaja kama ni fisadi kule mwembe yanga ni wana CCM?. Kwanini hao hao ambao waliiambia public kwamba Lowassa ni mmoja wa watuhumiwa, wameshindwa kumsafisha kwa kutumia njia ile ile waliyotumia kumchafua?. Theatre ndogo inaanzia CHADEMA, kabla ya uongozi wa juu wa serikali haujaanza kutafuta mikasi na pamba ziko wapi.
Magufuli anajua kwamba mhusika mkuu na mnufaikaji mkuu wa ufisadi wa nchi hii ni nani , anamjua , hana ubavu wa kumshtaki lowassa maana anajua hana tuhuma .
 
Magufuli anajua kwamba mhusika mkuu na mnufaikaji mkuu wa ufisadi wa nchi hii ni nani , anamjua , hana ubavu wa kumshtaki lowassa maana anajua hana tuhuma .
Hakuna mhusika mmoja ambaye ni mkuu wa ufisadi, hayo ni maneno ya kupamba habari za magazeti, kila anayeihujumu nchi ni mhusika mkuu wa ufisadi kuanzia wale wa TRL mpaka wale wa ESCROW, wote ambao kwa njia moja au nyingine wanaihujumu nchi, ni wahusika wakuu wa ufisadi, dhambi ni dhambi tu hakuna kubwa wala ndogo. Ukiingia kwenye anga za TAKUKURU na ushahidi wote ukajitosheleza wewe ni mhusika mkuu wa ufisadi.
 
Hakuna mhusika mmoja ambaye ni mkuu wa ufisadi, hayo ni maneno ya kupamba habari za magazeti, kila anayeihujumu nchi ni mhusika mkuu wa ufisadi kuanzia wale wa TRL mpaka wale wa ESCROW, wote ambao kwa njia moja au nyingine wanaihujumu nchi, ni wahusika wakuu wa ufisadi, dhambi ni dhambi tu hakuna kubwa wala ndogo. Ukiingia kwenye anga za TAKUKURU na ushahidi wote ukajitosheleza wewe ni mhusika mkuu wa ufisadi.
kwa mfano unauzungumziaje uwepo hadi leo wa RICHMOND kwa majina mapya ? hata baada ya lowasa kuondoka Richmond haikutetereka , ikabadilika ikawa Dowans na baadaye SYMBION .
 
Mkuu unapata wapi ujasiri wa kumtetea EL?

Hebu ongea kama mwanachadema halisi tunayoijua toka enzi na enzi, unapataje ujasiri wa kuandika makala ndefu hivi kumtetea EL?

Najua huna jinsi maana EL upo nae nyumbani lkn ili kuficha aibu ungekaa tu kimya....

Kimgusa E N L ni kumgusa mzee wa anga za kimataifa a k a Jk kumbuka jamaa alisema ni kwa amri ya mamlaka ya juu. Muwe tayari
 
Kama CCM hawakuwa na ushahidi wa ufisadi wa Lowasa basi alikatwa jina lake kwa fitna na majungu period. Sasa naanza kuamini kuwa mhusika mkuu wa Richmond ni yule aliyetajwa na Lissu ambaye ndiye aliyesimamia kikao cha CC kuchuja majina ya wagombea wa CCM. Na ambaye leo hii Magufuli anasumbuka kutumbua majipu aliyoyaumua yeye. Very interesting!
Lissu huyo huyo aliyesema kwa nini ccm wanampa fomu ya kugombea urais fisadi Lowassa
 
Hakuna mhusika mmoja ambaye ni mkuu wa ufisadi, hayo ni maneno ya kupamba habari za magazeti, kila anayeihujumu nchi ni mhusika mkuu wa ufisadi kuanzia wale wa TRL mpaka wale wa ESCROW, wote ambao kwa njia moja au nyingine wanaihujumu nchi, ni wahusika wakuu wa ufisadi, dhambi ni dhambi tu hakuna kubwa wala ndogo. Ukiingia kwenye anga za TAKUKURU na ushahidi wote ukajitosheleza wewe ni mhusika mkuu wa ufisadi.
Basi hiyo dhambi niya boss wake
 
chengine ni kwamba , watanzania wengi walijua yale makampuni yaliyokwepa kodi na kupitisha makontena bila kulipa kodi , robo 3 ama labda yote ni ya lowassa !
Chama cha Machafuko kinafanya mahasi kwa kujificha kwenye majina ya watu
 
Na Aliongea ukweli kabisa bosi wake hana cha kukwepa
JK alimkana EL, kwa taarifa yako EL alikuwa na lengo baya sana, wenye akili kumzidi walimuwahi njiani, wakawa wamemaliza kazi. Nguvu mnayotumia kumsafisha inapotea bure kabisa. Dr. Slaa alifananisha CHADEMA na choo kinachonuka, baada ya kumpokea EL. Wewe humu JF unachukua perfume unaipulizia kwenye chumba chenye harufu ya choo!!. Unapoteza muda mwanahabari huru.
 
JK alimkana EL, kwa taarifa yako EL alikuwa na lengo baya sana, wenye akili kumzidi walimuwahi njiani, wakawa wamemaliza kazi. Nguvu mnayotumia kumsafisha inapotea bure kabisa. Dr. Slaa alifananisha CHADEMA na choo kinachonuka, baada ya kumpokea EL. Wewe humu JF unachukua perfume unaipulizia kwenye chumba chenye harufu ya choo!!. Unapoteza muda mwanahabari huru.
Dr. Mihogo huyo mliomnusuria nyumba yake kuzwa? Alimkana baada yakushtukiwa kua muhusika mkuu ni yeye hata Lowassa alisema Mamlaka ilitoka juu
 
Ni fisadi tu....!! Hivi pesa ya ku walipa viongozi wa chadema wilaya nchi nzima anazotakiwa wapi? Magufuli hamuwezi ÈL ... kwakuwa Magu mkali lkn si mwerevu!!
 
Ni fisadi tu....!! Hivi pesa ya ku walipa viongozi wa chadema wilaya nchi nzima anazotakiwa wapi? Magufuli hamuwezi ÈL ... kwakuwa Magu mkali lkn si mwerevu!!
Kumbuka chadema Kinaruzuku kwahiyo kinajiendesha na Lowassa hajatoa hela yoyote fwatilia ruzuku ya vyama vya siasa
 
JK alimkana EL, kwa taarifa yako EL alikuwa na lengo baya sana, wenye akili kumzidi walimuwahi njiani, wakawa wamemaliza kazi. Nguvu mnayotumia kumsafisha inapotea bure kabisa. Dr. Slaa alifananisha CHADEMA na choo kinachonuka, baada ya kumpokea EL. Wewe humu JF unachukua perfume unaipulizia kwenye chumba chenye harufu ya choo!!. Unapoteza muda mwanahabari huru.
Tangu uanze kufanya uongo umepata faida gani ?
 
Back
Top Bottom