Kumnusuria nyumba ni suala moja, yeye kuwa mkweli kwa nafsi yake ni suala jingine kabisa. Kumnusuria nyumba ni suala moja, na yeye kukataa kununuliwa na fedha za mmeru, ni suala jingine kabisa. Huyo Lowassa ndio chanzo cha matatizo mengi enzi za JK, lakini mkwere alimvumilia, huyu mzee wa Chato hatovumilia upuuzi wowote ule kutoka kwa Mmeru, fanyeni hima mumfahamisha mapema. Lowassa ni mstaafu, kubaliana kwanza na ukweli huo. Hana tofauti na wastaafu wote walio hai kwa sasa. Usijaribu kumpandisha hadhi ambayo historia inaonyesha kuwa hana.