Yuko wapi Zitto Kabwe?

Au ndio kulamba asali?

Madeleka anateseka mwanachama wa ACT yeye kala buyu?

Hivi Zitto atawaadaa watanzania mpaka lini?
Nadhani alishatekeleza wajibu wake katika kuongoza ACT wazalendo na atastaafu kwa heshima, bilashaka yoyote anaendelea na mambo mengine binafsi na ya kifamilia yake kadiri anavyoona inafaa 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…