Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 10,488
- 16,646
Kijana huyo alijulikana kama Alshababa.Alipewa kazi ya kupambana na Hamas na yeye akapewa siku 14 kujisalimisha kujibu kosa la kukubali kuwasaliti wapalestina.
Baada ya hapo akasema yeye anataka kuwaunganisha watu wa Gaza waachane na Hamas.Alipewa kila msaada na waliomtuma,
Kwa kumbukumbu zangu tangu siku hiyo,zaidi ya mwezi sasa hajasikika tena na wala hatajwei na hata wale waliomtuma.
Baada ya hapo akasema yeye anataka kuwaunganisha watu wa Gaza waachane na Hamas.Alipewa kila msaada na waliomtuma,
Kwa kumbukumbu zangu tangu siku hiyo,zaidi ya mwezi sasa hajasikika tena na wala hatajwei na hata wale waliomtuma.