Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Kabudi naye ni mgonjwa; mbona nimefuatilia akiwa kwenye missions mbalimbali, Ufaransa, Vatican na kadhalika. Miezi michache iliyopita watu walisema Kabudi you taabani kumbe siyo kweli!peno hasegawa kwani kabudi umemuona?
??Yupo nyumbani kwake kapumzika. Kwani kuna kazi anadaiwa?
Ndio nashangaaaAna mafaili?
??
Huyo mtu aliyesema katoka kwenye takataka ndiye awe nani? PatheticKwani Kabudi naye ni mgonjwa; mbona nimefuatilia akiwa kwenye missions mbalimbali, Ufaranza Vatican na kadhali. Miezi michace iliyopita watu walisema Kabudi you taabani kume siyo kweli!...
Jamaa yako jiwe mzee wa hakuna corona is no more, pole kwa msiba mkuuOoh wazee walindwe,asipoonekana tayari anazushiwa ugonjwa na kifo. Kuna watu mna akili za nyumbu daah
Rais wetu milele Lowassa is an intelligent person. He takes things with cautionLaigwanan anadunda,anachukua tahadhari na hali ya corona ilivyosambaa...
Aliyetoka kwenye takataka huwa anajua sana kero ya takataka!!Huyo mtu aliyesema katoka kwenye takataka ndiye awe nani? Pathetic
Kwani Mbowe yuko wapi?Mtu mliyemuita Maiti inayotembea Leo hii mnamuulizia.
Anzisha thread yakeKwani Mbowe yuko wapi?
Jamaa yako jiwe mzee wa hakuna corona is no more, pole kwa msiba mkuu
Leta pichaMzee mgonjwa ana Parkinson. Mwacheni apumnzike jamani. Yupo kwake katulia.
Sure bro!Mmeshaanza tena, aagh..., hivi hii tabia ya kuulizia ulizia watu imetoka wapi?!