Yuko wapi Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa?

Status
Not open for further replies.
peno hasegawa kwani kabudi umemuona?
Kwani Kabudi naye ni mgonjwa; mbona nimefuatilia akiwa kwenye missions mbalimbali, Ufaransa, Vatican na kadhalika. Miezi michache iliyopita watu walisema Kabudi you taabani kumbe siyo kweli!

Halafu mimi ningependa mtu kama Kabudi ndiye awe Makamu wa Rais; ni mtu mtiifu na mwenye msimamo sana. Nchi hii inataka viongozi wenye misimamo, siyo viongozi brah brah!!
 
Status
Not open for further replies.
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom