juma mpemba
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,227
- 7,552
Pumbavu....usimletee gundu mzee Lowassa
Kabudi ni kama nilimuona kwa mbali jana nahisi Safari ya jalalani haipo mbalipeno hasegawa kwani kabudi umemuona?
Anatusalimia auYupo magomeni
Sikuamini tena wwMzee mgonjwa ana Parkinson. Mwacheni apumnzike jamani. Yupo kwake katulia.
Acheni ramli, pia Monduli hayupo wala Dar hayupo.Awali ya wote naomba niwape pole waTanzania wote kwa msiba wa hayati Rais Magufuli...
Khaaaa!!!!!Awali ya yote naomba niwape pole waTanzania wote kwa msiba wa hayati Rais Magufuli.
Edward Lowassa ni muda sijamuona hadharani na kwenye msiba huu mzito, waziri mkuu mstaafu huyu alipaswa kuonekana
Mwezi wa huzuni sana huu tushikamane waTanzania.
==========
View attachment 1731010
Duh
HeheheheHuyu hapa tupo naye tunafuatilia msiba kwa karibu sana
View attachment 1731001