Gazeti la nipashe la leoAwali ya wote naomba niwape pole waTanzania wote kwa msiba wa hayati rais Magufuli.
Edward lowassa ni muda sijamuona hadharani na kwenye msiba huu mzito wazuri mkuu mstaafu huyu alipaswa kuonanekana
Mwezi wa huzuni sana huu tushikamane waTanzania.
Lowassa kipindi cha Corona, kumuona ni ndoto.Awali ya wote naomba niwape pole waTanzania wote kwa msiba wa hayati rais Magufuli...
Mkizidisha kelele ndio ataibuka.
Ulimuona waziri mkuu mstaaafu Cleopa Msuya?Awali ya wote naomba niwape pole waTanzania wote kwa msiba wa hayati rais Magufuli...
Yule mzee ana machale, kama mkwere vile. Corona haina mwamba, Lowassa kaamua kujichimbia ndani kimyaaa, hakuna kuzurula ovyo ovyo. Anafuata masharti ya wataalamu wa afya.Lowassa kipindi cha Corona, kumuona ni ndoto.
Sio leo tuu, hata vikao vingi hashirikihata kikaoni Leo sijamuona ina maana hichi kikao sio muhimu kwake
Na corona hii mnataka mumpeleke wapi mzee wetu ...muacheni achukue tahadhari nyie si mmekataaMzee Edward Lowassa, haonekani kwenye matukio muhimu mfano la kuaga mwili wa Rais Magufuli. Pia kuna tetesi ,kila mtu anaongea lake. Yuko wapi mzee Lowassa?
Ngoja niweke seat hapaMzee Edward Lowassa, haonekani kwenye matukio muhimu mfano la kuaga mwili wa Rais Magufuli. Pia kuna tetesi ,kila mtu anaongea lake. Yuko wapi mzee Lowassa?