Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,264
- 53,227
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Nzega kwa tiketi ya CCM, Mh. L Seleli pia aliyehusika katika uchunguzi wa Kampuni tata ya kufua umeme wa Dharura RICHMOND. Baada ya kuangushwa katika uteuzi wa Ubunge uliogubikwa na fitna pia zengwe kubwa,amekuwa kimya na habari zake hazikiki tena. Hii inaashiria wazi siasa ni mchezo mchafu au ndiyo kusema SELELI hayupo nchini. Mwenye habari za huyu mtu tafadhali naomba anijuze pia anashughulika na masuala gani?