Yuko wapi SELELI?

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
48,264
53,227
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Nzega kwa tiketi ya CCM, Mh. L Seleli pia aliyehusika katika uchunguzi wa Kampuni tata ya kufua umeme wa Dharura RICHMOND. Baada ya kuangushwa katika uteuzi wa Ubunge uliogubikwa na fitna pia zengwe kubwa,amekuwa kimya na habari zake hazikiki tena. Hii inaashiria wazi siasa ni mchezo mchafu au ndiyo kusema SELELI hayupo nchini. Mwenye habari za huyu mtu tafadhali naomba anijuze pia anashughulika na masuala gani?
 
Nilifurahi alivyopigwa chini, maana alikua anajiita mbunge wa maisha as if amewafanya watu wa nzega woote misukule wake.
 
Nilifurahi alivyopigwa chini, maana alikua anajiita mbunge wa maisha as if amewafanya watu wa nzega woote misukule wake.

Mkuu iMind swali alilouliza mleta mada hujalijibu bali umeweka chuki zako tuu dhidi ya Mh. Selelii...
Swali lililoulizwa ni yupo wapi kwa sasa??? kama hujui ni vema ungebaki kimya kama wengine
Lakini kwakuwa umetaja mabaya yake labda nikusaidie kumbukumbu ya mazuri yake;
- Alishiriki kwenye tume ya bunge dhidi ya Richmond, wakati ripoti ilipowasilishwa bungeni EL alipewa
nafasi ajitetee lakini akadai kuwa ripoti ilikuwa imejaa uzushi, hapo ndipo ujasiri wa SELELII ulipoonekana,
alisimama na kumtaka EL athibitishe penye uzushi vinginevyo aombe radhi na kufuta kauli yake...ndipo spika
alipoona mtumzima anaumbuka akaingilia kati na kumuokoa EL ambaye tayari alikwishawekwa kwenye kona..
- Aliibua kashfa ya Serikali kufanya matumizi ya fedha ambazo bado bunge lilikuwa halijazipitisha, kitendo hiki
kiliwaudhi sana vigogo wa chama chake na ndicho kilipelekea mizengwe kwenye uchaguzi ambapo alibwagwa,
katibu mkuu wa ccm alipoulizwa kuhusu SELELII alijibu kuwa hana mvuto....hofu ni kwamba hasikiki kabisa, maana wenzake katika kamati wamepewa vyeo mbalimbali kama vile unaibu waziri, ukuu wa mkoa n.k, YUPO WAPI KWA SASA?
Mwenye taarifa atujuze...
 
Mkuu iMind swali alilouliza mleta mada hujalijibu bali umeweka chuki zako tuu dhidi ya Mh. Selelii...
Swali lililoulizwa ni yupo wapi kwa sasa??? kama hujui ni vema ungebaki kimya kama wengine
Lakini kwakuwa umetaja mabaya yake labda nikusaidie kumbukumbu ya mazuri yake;
- Alishiriki kwenye tume ya bunge dhidi ya Richmond, wakati ripoti ilipowasilishwa bungeni EL alipewa
nafasi ajitetee lakini akadai kuwa ripoti ilikuwa imejaa uzushi, hapo ndipo ujasiri wa SELELII ulipoonekana,
alisimama na kumtaka EL athibitishe penye uzushi vinginevyo aombe radhi na kufuta kauli yake...ndipo spika
alipoona mtumzima anaumbuka akaingilia kati na kumuokoa EL ambaye tayari alikwishawekwa kwenye kona..
- Aliibua kashfa ya Serikali kufanya matumizi ya fedha ambazo bado bunge lilikuwa halijazipitisha, kitendo hiki
kiliwaudhi sana vigogo wa chama chake na ndicho kilipelekea mizengwe kwenye uchaguzi ambapo alibwagwa,
katibu mkuu wa ccm alipoulizwa kuhusu SELELII alijibu kuwa hana mvuto....hofu ni kwamba hasikiki kabisa, maana wenzake katika kamati wamepewa vyeo mbalimbali kama vile unaibu waziri, ukuu wa mkoa n.k, YUPO WAPI KWA SASA?
Mwenye taarifa atujuze...

Siasa aka ****! i dnt buy, and am sorry 4 that.
 
usicheze na Mafia ya CCM,imemchinjia baharini; huoni wakina Sendeka wote kwisha wanaimba wimbo wa Lowassa!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom