Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Mbona yupo mwingi tu, leo alikuwa anazindua bodi ya maji chalinze tena kwenye account yake yake ya twitter ndo hakauki.
 
Shida yako sio Ridhiwan bali una kale kaogonjwa ka kejeli kwa watu wa eneo fulani! Angalia lugha uliyotumia... wapenda kukaa vibarazani! Lakini ushahidi usio shaka ni kwamba hata huko wasikokaa vibarazani nao ni masikini wa kutupwa! Elimu hawana sawa tu na hao watu wa pwani! Na kwavile mmekaririshwa kwamba wale ni wanya kahawa na kukaa vibarazani; basi hata mnapoletewa tafiti kwamba huko kwenu ni masikini wa kutupwa huwa hamtaki kukubali kwavile mnaishi kwa kukariri!! Kuna mtu niliwahi kumuuliza kwamba Lindi, Mtwara, na Pwani kote huko wanalima korosho na ufuta bila kusahau nazi! Tofauti na pesa za madini ambazo asilimia kubwa huenda kwa wazungu, pesa za korosho, ufuta na nazi zinaenda moja kwa moja mifukoni kwa wakulima! Swali ambalo niliuliza na sikupata jibu ni je; huko ambako mnakataa kwamba sio masikini mnalima nini!? Hilo jibu hadi leo sijapata!!

Sasa wewe endelea na porojo za kusema hawa ni watu wa vibarazani na ndio maskini wa kutupa lakini "sisi ndio matajiri...!" Endelea na hizo fikra lakini wenzenu wanapiga mzigo kimya kimya huku wengine mkiendelea kuonea fahari historia!! Fanya kupekua pekua kumbukumbu za miaka 3 iliyopita halafu angalia ikiwa hiyo mikoa unayoamini kwamba wao wapo vizuri huwa wanasalimika na uhaba wa chakula kila mwaka!!!
Povu lote nanini ??
Wamekuwa Rais wa twiter
 
dahhh..
Kweli kila zama na zama zake......!
nyota iliyozimika gafla, ilianza kuzima wakti JPM anafanya kampeni kwenye jimbo lake😕
 
IMG_5134.JPG

Huyo hapo amekabidhi madawati juzi tu hapo wiki kama mmoja imepita. Uache umbeya fanya kazi hakuna dezo safari hii
kutoka kule mpka kutafuta poz la picha, hatar sana ase
 
Shida yako sio Ridhiwan bali una kale kaogonjwa ka kejeli kwa watu wa eneo fulani! Angalia lugha uliyotumia... wapenda kukaa vibarazani! Lakini ushahidi usio shaka ni kwamba hata huko wasikokaa vibarazani nao ni masikini wa kutupwa! Elimu hawana sawa tu na hao watu wa pwani! Na kwavile mmekaririshwa kwamba wale ni wanya kahawa na kukaa vibarazani; basi hata mnapoletewa tafiti kwamba huko kwenu ni masikini wa kutupwa huwa hamtaki kukubali kwavile mnaishi kwa kukariri!! Kuna mtu niliwahi kumuuliza kwamba Lindi, Mtwara, na Pwani kote huko wanalima korosho na ufuta bila kusahau nazi! Tofauti na pesa za madini ambazo asilimia kubwa huenda kwa wazungu, pesa za korosho, ufuta na nazi zinaenda moja kwa moja mifukoni kwa wakulima! Swali ambalo niliuliza na sikupata jibu ni je; huko ambako mnakataa kwamba sio masikini mnalima nini!? Hilo jibu hadi leo sijapata!!

Sasa wewe endelea na porojo za kusema hawa ni watu wa vibarazani na ndio maskini wa kutupa lakini "sisi ndio matajiri...!" Endelea na hizo fikra lakini wenzenu wanapiga mzigo kimya kimya huku wengine mkiendelea kuonea fahari historia!! Fanya kupekua pekua kumbukumbu za miaka 3 iliyopita halafu angalia ikiwa hiyo mikoa unayoamini kwamba wao wapo vizuri huwa wanasalimika na uhaba wa chakula kila mwaka!!!

Mkuu samahani, nani amekuambia unaweza kuwa tajiri kwa kuwa mkulima Tanzania? Asilimia zaidi 80 ya wakulima nchi hii wanalima kilimo cha kutegemea mvua, sasa huo utajiri unadhani wataupata kwa kilimo hicho? Hao watu wa kwenye hiyo mikoa wenye unafuu wengi ni wafanya biashara na sio wakulima. Ama hujawahi kusikia ule msemo wa kejeli wa watu wa mjini kama maisha yamekushinda mjini rudi shamba ukalime. Yaani wanamaanisha kazi inayofanywa na watu walioshindwa na maisha ni kulima!! Ama unataka nikulitee picha ya wakulima hapa jukwaani uone hali zao.?
 
Mkuu samahani, nani amekuambia unaweza kuwa tajiri kwa kuwa mkulima Tanzania? Asilimia zaidi 80 ya wakulima nchi hii wanalima kilimo cha kutegemea mvua, sasa huo utajiri unadhani wataupata kwa kilimo hicho? Hao watu wa kwenye hiyo mikoa wenye unafuu wengi ni wafanya biashara na sio wakulima. Ama hujawahi kusikia ule msemo wa kejeli wa watu wa mjini kama maisha yamekushinda mjini rudi shamba ukalime. Yaani wanamaanisha kazi inayofanywa na watu walioshindwa na maisha ni kulima!! Ama unataka nikulitee picha ya wakulima hapa jukwaani uone hali zao.?
Kwahiyo unataka kusema huko Mwanza, Geita na kwingineko ni wafanyabiashara wazuri? Wanafanya biashara gani?

Wakati takribani Watanzania 80% wanaishi vijijini... hivi vijiji vya Mwanza au Geita nao wana uchumi unaotegemea biashara hata ionekane haiwezekani wakawa maskini kuliko Pwani, Lindi na Mtwara?

Ndo maana watu walikuwa wanaipinga ile taarifa! Ndugu zangu wa Mwanza walipoambiwa nao ni maskini wakaishia kuangalia "mabugando" ya Mwanza mjini na ku-conclude how come Mwanza iwe maskini na mabugando yote haya huku wakisahau zaidi ya 80% ya watu wa mkoa wa Mwanza wanaishi vijijini... kilimo kikibuma, nao wanabuma! Sasa ikiwa kilimo kimebuma, pamba imebuma... unatarajia hiyo zaidi ya 80% wanaishi vipi?

Ngoja tuelimishane kidogo! Kuna mambo mawili kwenye hizi ripoti za uchumi... mosi; pato la mkoa na pili hali ya umaskini!

Linapokuja suala la pato la mkoa, always Mwanza na hata Geita na Shinyanga zitakuwa juu tu na mikoa kama Lindi, Pwani na Mtwara itakuwa chini kwa pato la mkoa! WHY? Because Mwanza, Geita na mikoa mingine kama hiyo ina massive foreign na local investments hususani kwenye sekta za madini! Kutokana na hilo, mapato ya hiyo mikoa LAZIMA yatakuwa juu! Swali linalofuata: Je, asilimia kubwa ya hayo mapato yanaenda kwa nani?! Jibu ni kwamba asilimia kubwa inaenda kwa wawekezaji, asilimia nyingine inaenda TRA na sehemu ndogo inayobaki ndiyo inazunguka kwenye uchumi wa mikoa hiyo na kutafsiri kiwango cha maendeleo(sio pato tena) ya mikoa husika!

Sasa kv wananchi wengi wanaishi vijijini na wanaofaidika na hiyo migodi ni wachache sana! Na ikiwa vijijini kilimo kimebuma kama ilivyobuma pamba! Ukichanganya na high population ya kanda ya ziwa; then, hapa huhitaji kuwa economist ku-anticipate hali ya maendeleo kwenye mkoa ambao una very high population but no dependable cash crop! Mwanza wala Geita sio wafanyabiashara!

Kinyume chake, si Lindi, Mtwara wala Pwani zenye massive foreign and local investments. Kutokana na hilo pato la mkoa kwa hiyo mikoa ni dogo na hata TRA hakuna cha maana wanachopata hadi pale gas business itakavyochanganya!!

Lakini wakati hakuna foreign investments, kama ilivyo kwa mikoa mingine ya Tanzania, majority hapa nao wanategemea kilimo. Nimetaja korosho na ufuta mazao ambayo, ingawaje ni kweli korosho nayo inajikongoja lakini haijabuma kama ilivyobuma pamba! Mtu wa Pwani mboga bila kitunguu kwake ni taabu tupu... kwahiyo unakuta vitunguu navyo ni kilimo kinacholipa sana kwenye hii mikoa! Watu wa Pwani mboga bila nyanya ataila kwa shida... kwahiyo unakuta nyanya nayo ni moja ya vilimo venye pesa sana kwenye ukanda huu!Miaka 20 iliyopita bush kwetu walikuwa wanapenda sana kulima mpunga lakini siku hizi majority ya vijana huwezi kukuta eti analima mpunga zaidi ya nyanya na vitunguu!!

Sasa wakati sehemu kubwa ya mapato ya madini yanaishia kwa investors; asilimia kubwa ya mapato ya kilimo yanabaki kwa mkulima mwenyewe! Na ukizingatia hii mikoa haina population kubwa, usishangae kukuta by average wanawapiga gap Mwanza kimaendeleo (sio pato la mkoa)!

In few years to come, Lindi na Mtwara zitakuwa zinashindana na Dar kwa pato la mkoa (na usishangae Dar ikapigwa gap) lakini bado Lindi na Mtwara zitaendelea kuwa maskini compared to Dar for years.

Ukitaka kufahamu effect ya pesa inayoenda moja kwa moja kwa moja kwa mwananchi na ile inayoenda kwa mwekezaji angalia mkoa wa Kilimanjaro. Kilimanjaro ni moja ya mikoa yenye pato dogo sana ukilinganisha na umaarufu wa mkoa wa huu! Nadhani hata katika 10 bora ya kuchangia pato la Taifa hawapo! WHY? No big investments in Kilimanjaro!

Lakini kwa kuwa Kilimanjaro wanafanya sana biashara kubwa na ndogo. Na kwa kuwa sehemu kubwa ya mapato ya biashara hii inaenda kwa wafanyabiashara wenyewe ambao ni wana Kilimanjaro... ndo maana unakuta ingawaje mchango wake kwenye pato la taifa ni mdogo, lakini maendeleo ya watu ni makubwa kwa sababu sehemu kubwa ya pato la Kilimanjaro linatengenezwa na wananchi wenyewe na pesa kwenda moja kwa moja kwao wenyewe na sio investments za tajiri mmoja mwenye li-investment likuuuuuuubwa kama ilivyo kwenye investments za migodi!!
 
Povu lote nanini ??
Povu tena?! Ningekushauri uache kejeli kwa jamii zingine! Narudia, shida yako haikuwa Rizwani unless kama uelewa wako ni mdogo! Unless kama uelewa wako ni mdogo kv sijui kivipi mbunge Chalinze umlaumu kwa umaskini wa Pwani!! Unless kama uelewa wako ni mdogo vinginevyo sijui kwanini utake mbunge wa Chalinze azi-doubt ripoti za BoT kwamba how come Mwanza iwe masikini badala ya Pwani!!! Lakini kubwa kuliko yote, binafsi sijawahi kumuona Riz1 akifanya siasa za mbwembwe kama unavyotaka kuaminisha watu! Ni Riz1 yupi huyo ambae enzi za baba ake alikuwa ni mtu wa media?! Hivi ni mfuatiliaji wa siasa wewe au umeanza siku za karibuni?!
 
Acha wapumzike kazi walioifanya sio ndogo! Wameifanya nchi imekuwa hovyo na kama haina mwenyewe! Wameteneneza mitandao wa wezi wa mali ya umma kila sehemu! Wafanyabiashara walikuwa hawaguswi na hawalipi kodi hasa mafuta na containers za wafanya biashara wa kariakoo! Ule usemi wa zamu yetu hatukuuelewa mwanzoni
Well said
 
Povu tena?! Ningekushauri uache kejeli kwa jamii zingine! Narudia, shida yako haikuwa Rizwani unless kama uelewa wako ni mdogo! Unless kama uelewa wako ni mdogo kv sijui kivipi mbunge Chalinze umlaumu kwa umaskini wa Pwani!! Unless kama uelewa wako ni mdogo vinginevyo sijui kwanini utake mbunge wa Chalinze azi-doubt ripoti za BoT kwamba how come Mwanza iwe masikini badala ya Pwani!!! Lakini kubwa kuliko yote, binafsi sijawahi kumuona Riz1 akifanya siasa za mbwembwe kama unavyotaka kuaminisha watu! Ni Riz1 yupi huyo ambae enzi za baba ake alikuwa ni mtu wa media?! Hivi ni mfuatiliaji wa siasa wewe au umeanza siku za karibuni?!
Mkuu kwa hiyo nawewe unakubari charinze ni tajiri kuliko ilemela?
 
Habari za jumapili wakuu.
Ndugu zangu Wapemba poleni na kadhia mnayokutana nayo kwa sasa Mungu yupo nanyi.

Leo nimemkumbuka Prince wa zamani wa Nchi hii, ambaye alikuwa na kauli nzito na za kichochezi katika utawala uliopita hata kudiriki kutuambia Rais ajaye hatatoka KASKAZINI.

Ni muda mrefu sasa Ridhiwani J. Kikwete hajasikika au kuonekana kwenye media walau basi hata kuzungumzia utawala wa JPM.

Je yuko wapi Mbunge huyu wa Chalinze kwa sasa?
Uchochezi gani yeye kutabiri kwamba Rais hatatoka upande fulani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom