lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Nimekuelewa mkuu japo nina wasi kama utaeleweka na wengi!yuko anapambana kuamisha maiti ili makaburi yakifukuliwa kukutwe hamna kitu kaburini.
Nimekuelewa mkuu japo nina wasi kama utaeleweka na wengi!yuko anapambana kuamisha maiti ili makaburi yakifukuliwa kukutwe hamna kitu kaburini.
View attachment 389785mwangalie enzi za jk
Hiyo picha ni ya zamani sana mkuu naijuaView attachment 389788muangalie enzi za JPM
Mwaka gani?Hiyo picha ni ya zamani sana mkuu naijua
yuko anapambana kuamisha maiti ili makaburi yakifukuliwa kukutwe hamna kitu kaburini.
Hiyo picha ni ya mwaka Jana karibia na uchaguziMwaka gani?
Mabadiliko yana garama si ndio?Inawezekana...mabadiliko yameleta changamoto kubwa kwa walioishi kwa mazoea. Kuna namna nyingi yale walioyajenga na kuyasimamia yanasambaratika.
Anakwambia wao ndio serikali, hahaha! Ingekuwa ni mtoto wa kapuku angeitwa mchochezi na kuishia nyuma ya nondo tu.Dah siamini kama hata Kaka February nae kakaaa kimya hivyo aiseeeee, dah siasa hizi, hivi na yule dogo aliyetukana sana kipindi kile na kuweka clip kwenye social media kaishia wapi? Yule sijui alikua chipukizi wa Taifa...kibonge hivi
Million 7Anakwambia wao ndio serikali, hahaha! Ingekuwa ni mtoto wa kapuku angeitwa mchochezi na kuishia nyuma ya nondo tu.
Karibia na uchaguzi si alikua anagombea ubunge au vipi mkuu mbona unapanick sana.Hiyo picha ni ya mwaka Jana karibia na uchaguzi
Mkuu hiyo picha alikuwa anagawa madawati mwaka Jana mkuu wala si ya juziKaribia na uchaguzi si alikua anagombea ubunge au vipi mkuu mbona unapanick sana.
Hv Chalinze iko mkoa wa Moro?Hivi lengo lako ni kuuliza alipo riziwani au kusema watu wa pawani ni maskini kwa sababu wanakaa vibarazani?.
Maana naona umechanganya habari mbili zisizowiana.
Riziwani ni mbunge wa chalinze na siyo pwani sasa unapotaka asimame aitetee pwani kana kwamba ni mbunge wa pwani napata mashaka na uzi na uelewa wako.
hhahahahaHv Chalinze iko mkoa wa Moro?
Vyote mkuuShida yako Rizwan Kikwete au watu wa Pwani?
View attachment 389718
Sikusikii tena kwenye media kama ilivyokuwa enzi za utawala wa baba yako nini kimekupata?
Nilisikia wanatangaza mikoa masikini Tanzania yote kutoka kanda ya ziwa sikukuona hata ukitokea kuwatetea Wanachi wa pwani ambao wanaishi kwenye umasikini wa kutupwa
Hivi kweli ulikubali kuwa Mwanza ni masikini kuliko Pwani?
Wanachi wa pwani wanaoshinda vibalazani wanapiga story ndio waje wawe matajiri kuliko Mwanza ??
Nini tatizo umepotea kwa media?
Hata bunge lililokuwa Giza sikuona jitiada zako kuwasemea wanyonge wa pwani?
Au tumbua majipu imekukumba?
Au ulitaka nafasi ya uwaziri ikakosa ukasusa??
Bado sijaelewa nini Tatizo?
Vijana watana shati wamekubali kupakatwaKATULIA KAMA MAJI YA MTUNGI..KAMA JANUARY MAKAMBA...WOTE KIMYA WANAOGOPA
Shida yako sio Ridhiwan bali una kale kaogonjwa ka kejeli kwa watu wa eneo fulani! Angalia lugha uliyotumia... wapenda kukaa vibarazani! Lakini ushahidi usio shaka ni kwamba hata huko wasikokaa vibarazani nao ni masikini wa kutupwa! Elimu hawana sawa tu na hao watu wa pwani! Na kwavile mmekaririshwa kwamba wale ni wanya kahawa na kukaa vibarazani; basi hata mnapoletewa tafiti kwamba huko kwenu ni masikini wa kutupwa huwa hamtaki kukubali kwavile mnaishi kwa kukariri!! Kuna mtu niliwahi kumuuliza kwamba Lindi, Mtwara, na Pwani kote huko wanalima korosho na ufuta bila kusahau nazi! Tofauti na pesa za madini ambazo asilimia kubwa huenda kwa wazungu, pesa za korosho, ufuta na nazi zinaenda moja kwa moja mifukoni kwa wakulima! Swali ambalo niliuliza na sikupata jibu ni je; huko ambako mnakataa kwamba sio masikini mnalima nini!? Hilo jibu hadi leo sijapata!!Vyote mkuu