Yuko wapi Ridhiwani Kikwete?

Wako kimya wanawatumikia wananchi wao mnawafokonyoa, kama unatokea jimbo lake na unahisi hawajibiki ndo uje hapa kulalamika, hayo mengine ni maisha binafsi jamani, Na hao watu wa PWANI Wamekuja kukuomba kula baada ya kukaa vibarazani???
Achana nae huyo amekariri!! Hivi mtu akae barazani kutwa nzima chakula unampelekea wewe?? Nyumba umemjengea ww??

Wasukuma wenzake huko Kanda ya ziwa ndo wanaongoza kwa umasikini kwa mujibu wa tafiti
 
Akitokeza sana kwenye media kelele,asipotokeza kelele,sijui unatakaje mkuu!
 

nipo jimboni kwangu nashirikiana na wanachi wangu kuleta maendeleo!
 

nipo jimboni kwangu nashirikiana na wanachi wangu kuleta maendeleo!

we unadhani pwani tumelala kama watu wa mwanza wamekalia chagulaga mayo! sisi tunashinda vibarazani wakati huohuo mananasi yanakua,mihogo inakua au ulitaka tulale shamba au tukatembee mlimani city kama wasukuma wanavyoenda kupiga picha rock city mall!
 
Haaaaaah kituko hiki hivi nawewe unakubali Mwanza ni masikini kuliko pwani?
 
Haaaaaah kituko hiki hivi nawewe unakubali Mwanza ni masikini kuliko pwani?

hapo imechukuliwa takwimu za mkoa mzima sio za mtu mmoja mmoja au sehemu fulani,kwa hiyo kama unaelewa vizuri hesabu za wastani utajua tu mwanza ni kubwa kuliko pwani kwa hiyo automatically wakipiga hesabu za majority lazima utaonekana ni mkoa masikini kuliko pwani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…