Captain Phillip
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 894
- 536
Alikuwa Barclays Bank kwa miaka kadhaa amehamia Ernst and Young ,yuko poa sana!ameokoka haimbi tena nyimbo zile labda atatoka na gospel!
Huyo tunapiga naye mzigo NMB kwa sasa na anahudumu kama Pastor kwenye haya makanisa ya Ki-Nigeria Tegeta.