alijiongeza, inasemekana pale ukienda nao tofauti tu ni shida, na ndio yaliotokea kwa Mafuvu, but Online chanel yake inafanya vizuriAmeacha kazi eatv, so tutarajie lolote popote kuanzia sasa. Za chini ya kapeti zinasema eti jamaa aliomba uongozi wamuongezee salary uongozi ukakataa jamaa akaamua kuchukua hamsini zake.
EATV ni wanyonyaji sana kwa wafanyakazi waoHuyu jamaa kapotelea wapi, hasikiki redioni wala kwenye Tv, alisikika kwenye Power Jam, The Cruise, Friday Night live na Enewz, kwa kipindi kirefu sasa hasikiki reddioni wala kuonekana kwenye Tv
Hakuna tatizo hapo. Yote ni maisha ya kutafuta. Unataka kusema Zembwela naye kaondoka kwa ubaya? Ukipata sehemu nyingine inayokulipa na mwajiri wako wa sasa umemwambia kusudio lako lakuondoka kama hawezi kufika ile offer ya upande wa pili unaondoka tu kistaarabu. Hapo hakuna tatizo ni maslahi tu.alijiongeza, inasemekana pale ukienda nao tofauti tu ni shida, na ndio yaliotokea kwa Mafuvu, but Online chanel yake inafanya vizuri
Wanalipa kutokana na mapato yao. Ukiona malipo hayatoshelezi unatafuta kwenye malisho bora zaidi. Maisha si lazima sehemu moja.EATV ni wanyonyaji sana kwa wafanyakazi wao
Hivi wasafi wanawazidi mapato EATV na CLOUDSWanalipa kutokana na mapato yao. Ukiona malipo hayatoshelezi unatafuta kwenye malisho bora zaidi. Maisha si lazima sehemu moja.
Inwezekana hawana mapato makubwa kuwazidi EATv lakini strategy yao ya kuchukua majina makubwa kwenye industry inawaaminisha kuwa watakuja kuinua redio na mapato yao huko mbele ya safari kwa haraka zaidi kuliko kuanza na watangazaji ambao hawana majina. Hawa wenye majina tayari wana ushawishi kutokana na fan base yao.Hivi wasafi wanawazidi mapato EATV na CLOUDS
Hata robo ya total revenues za(EATV/CLODS) hao wasafi hawawezi kufikisha.Hivi wasafi wanawazidi mapato EATV na CLOUDS
Inawezekana wanalipa mishahara mizuri ndo maana watangazaji wanaenda WASAFI MEDIA.Hivi wasafi wanawazidi mapato EATV na CLOUDS
Hii sio eatv tu but 90% ya waajiri wazalendo wananyonya wafanya kazi.EATV ni wanyonyaji sana kwa wafanyakazi wao
Nawapenda sana watu wanaohangaika ilinku earn mkate wao wenyewe.Yupo anahangaika na online Tv uko youtube
Coming soon on Wasafi Media