Yuko wapi Mh Zitto?

Yuko wapi Mh Zitto?

Leo ameonekana bungeni?
 
Unataka mmumuue au mmfunge bila faini
Hizo ndizo zenu
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.

Nyie vijana wa chama chakavu mumemchukua msukule
 
Sioni umuhimu wake maana anataka kiki kwa nguvu baada ya tajiri kukataa kuhonga honga vibaraka
 
Sioni umuhimu wake maana anataka kiki kwa nguvu baada ya tajiri kukataa kuhonga honga vibaraka
Mwenzake kila alipo tajiri yupo leo yupo kwenye mkusanyiko wa siku ya wanasheria kwa hiyo nyota yake iko poa
 
Mtego wa kumnasa Zito unafanana sana na ule uliomshika Alfonce Mawazo, let's hope Zito yu hai
 
Yupo anashughulikia stika ya nenda kwa usalama...
 
It is also insane for a sober person to submit himself to the draculars searching for his blood!!
We have draculas on the Stirling wheel beware!!
These are hallucinations and delusions denoting schizophrenia according to Shnider.
 
Yaani nacheka sana Kwa nguvu. Wanaomtafuta Zitto Kwa nguvu namna hii bila kosa, Kwa kutumia nguvu nyingi lakini mwisho Wa siku anakuwa alionewa.
 
ZZK bado anatafuta documents za gari lake. Mara akizipata ataziwasilisha polisi na ataonekana tena bungeni akiwa raia huru
Polisi waliliachia gari baada ya kujilizisha kuwa lina document halali na deleva wake alisibitisha uwepo wa nyalaka zote halali yuko wapi mzalendo ZZK
 
Natamani kura za kumtoa ngosha ze Don zitimie atimuliwe haraka sn
 
These are hallucinations and delusions denoting schizophrenia according to Shnider.
You have also a schizophrenic in fact a psychiatric case on the driving wheel!! do you agree? Read a condition called petit mal
 
Zito yupo ziarani, kwa ujasiri alionao zitto sidhani kama anaweza kuwa mwoga kiasi hicho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom