MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,735
- 9,188
Zitto ni level nyingine, ni mtu wa dunia nyingine kabisa-mcheki tu usoni kwake (sio lile baka) utaona kitu alichonacho (huwezi ona najua hata mshana hawezi hilo halipingiki) utagundua kuwa si rahisi kumkamata kama panzi labda ajilete mwenyewe kwa hiari.
Mtangoja sana.
Mtangoja sana.

