Yuko wapi Mh Zitto?

Yuko wapi Mh Zitto?

Zitto ni level nyingine, ni mtu wa dunia nyingine kabisa-mcheki tu usoni kwake (sio lile baka) utaona kitu alichonacho (huwezi ona najua hata mshana hawezi hilo halipingiki) utagundua kuwa si rahisi kumkamata kama panzi labda ajilete mwenyewe kwa hiari.
Mtangoja sana.
 
Mbunge asipohudhuria vikao vya bunge bila ruhusa ya Mh. Spika huadhibiwa. Adhabu itategemea na idadi ya vikao ambavyo hatahudhuria kwa sababu za kipuuzi za kujipoteza. Anaweza hata kupoteza ubunge wake for not being sane.
 
Mbunge asipohudhuria vikao vya bunge bila ruhusa ya Mh. Spika huadhibiwa. Adhabu itategemea na idadi ya vikao ambavyo hatahudhuria kwa sababu za kipuuzi za kujipoteza. Anaweza hata kupoteza ubunge wake for not being sane.




Uhai wa mtu una thamani zaidi ya ubunge,chukueni huo ubunge wenu tunachotaka Mh.Zitto awe hai tu,ubunge kitu gani?
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.
Jee na simu yake pia haipatikani? Kama jibu ni ndiyo bsi hali ni mbaya na uchunguzi inabidi uanze haraka iwezekanavyo na uanzie kwa wanafamilia/ mke wake. Yanaweza kusaidia pia kupata jibu la kupotea kwa Saa 8.
 
Kaonekana kwenye vijiwe vya Kahawa na Ben saa7 Mbagala wakirandaranda.
 
Mbunge asipohudhuria vikao vya bunge bila ruhusa ya Mh. Spika huadhibiwa. Adhabu itategemea na idadi ya vikao ambavyo hatahudhuria kwa sababu za kipuuzi za kujipoteza. Anaweza hata kupoteza ubunge wake for not being sane.
It is also insane for a sober person to submit himself to the draculars searching for his blood!!
We have draculas on the Stirling wheel beware!!
 
Yupo likizo ya uzazi. Nilisikia mke wake amejifungua mtoto wa kike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom