Yuko wapi Mh Zitto?

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,913
43,503
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.
kama chama cha sisiemu kinataka kumuua mnafikiri ataonekanaje??? Uhuni mnaofanya Mungu anawaona dhulma itawarudia
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.




Mh.Zitto hajawahi kuwaogopa policcm na kamwe hawezi kuwaogopa hata siku moja.Alishawahi kuwaambia policcm wasimvizie,kama wanamuhitaji wamwite ataenda mwenyewe.

Anayeogopwa ni yule aliyejiapiza kumpoteza yeyote ndani ya dk.5,huyo tu ndiye anayetisha na ndiye aliyewaagiza policcm wamkamate Mh.Zitto.
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.

Mnataka kumwonesha zile tani za mahindi?
 
Wana jf wasalaam.

Naomba hata ACT Wazalendo watusaidie kutujuza alipo Mh Zitto.
Toka Bunge limeanza sijapata wasaha wakuangalia je anaonekana? Na sikawaida na kama angeonekana lazima thread ya kuzungumzia kuonekana kwake isingelikosekana.
Twitter hayupo.
Facebook hayupo.
Bado siamini kama Mpambanaji kama Zitto bado kajificha kisa anawaogopa Polisi labda kama kuna jambo lingine.

Wasalaam.
Kwani bunge liko live ndio aonekane??
 
Mh.Zitto hajawahi kuwaogopa policcm na kamwe hawezi kuwaogopa hata siku moja.Alishawahi kuwaambia policcm wasimvizie,kama wanamuhitaji wamwite ataenda mwenyewe.

Anayeogopwa ni yule aliyejiapiza kumpoteza yeyote ndani ya dk.5,huyo tu ndiye anayetisha na ndiye aliyewaagiza policcm wamkamate Mh.Zitto.
Mkuu weka hapa ushahidi wa hayo maneno
 
Back
Top Bottom