PACHOTO
JF-Expert Member
- Dec 30, 2011
- 1,321
- 970
Yuko nyumbani kwake ana kazi maalum,Twambie wewe basi unayejua alipo.
Yuko nyumbani kwake ana kazi maalum,Twambie wewe basi unayejua alipo.
Mzee afya yake siyoMwanaye wa kiume popote alipo jamani .nimesoma naye
Kawadanganye wasiyojitambua mimi ninataarifa zote tangu day one anapelekwa India hadi siku anaingia AirportYuko nyumbani kwake ana kazi maalum,
Am told ( though yet to prove ) he's behind life supporting machine due to his long illness somewhere either abroad or overseas.Aliwahi kuwa waziri wa utawala bora awamu hii nikasikia amepangiwa kazi maalumu... Sijamuona kwenye uapisho pia sijabahatika kumuona Bungeni yuko wapi Mbunge wangu?
Si mmeamua kuonyesha kila uapishwaji.aapishwe basi tumuone Kisha aje kuchukua mawazo ya wapinga Kura kama kweli walimchagua.kumbuka bunge liendelealo ni la Bajeti muhimu kwa Wana newala na mtwara ukizingatia ni muhenga hasa toka hukoUshasema kapangiwa kazi maalum ulitaka tena aonekane ili iwaje
Ana haki ya kujua, ni mpiga kura wake.Halafu ukishajua aliko?
kwani Mkono ilikuaje?Hii itakua kama ile ya Nimrod Mkono come 2025 or less
Aliwahi kuwa waziri wa utawala bora awamu hii nikasikia amepangiwa kazi maalumu... Sijamuona kwenye uapisho pia sijabahatika kumuona Bungeni yuko wapi Mbunge wangu?
Mwanaye wa kiume popote alipo jamani .nimesoma naye
Pole sana mkuu huna mbunge hapoAliwahi kuwa waziri wa utawala bora awamu hii nikasikia amepangiwa kazi maalumu... Sijamuona kwenye uapisho pia sijabahatika kumuona Bungeni yuko wapi Mbunge wangu?
Huyu ni mtu mzima sasa yeye ni mshauri wa rais na washauri huwa hawaapishwiAliwahi kuwa waziri wa utawala bora awamu hii nikasikia amepangiwa kazi maalumu... Sijamuona kwenye uapisho pia sijabahatika kumuona Bungeni yuko wapi Mbunge wangu?
Hata mwanaye ni peace balaa lakini ajabu nilikua sijui jina lake kamili tulikua tunamwita mkuchika!Mimi niliwahi. Miaka ya nyuma alikua na lodge inaitwa plateau niliwahi kua nalala pale newala, mzee nilikua napiga nae story jioni ni mtu poa sana.
Ni moja wa makachero wabobezi pale eagle house.Wazee kama hao nchi,mfumo wanaujua vizuri
Ova
He is in bed ailing: May be.Aliwahi kuwa waziri wa utawala bora awamu hii nikasikia amepangiwa kazi maalumu... Sijamuona kwenye uapisho pia sijabahatika kumuona Bungeni yuko wapi Mbunge wangu?