Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,339
- 14,776
Eeenhh mapenzi hayana makombo
Acha kabisaPhares Magesa kaopoa Chombo Mbiki Msumi.
Kweli usije kutamani ndoa ya mtu mwingine kwa mionekano ya nje ,yaani kama PM asingeweka wazi kama wameachana basi watu wengi walikuwa wanatamani sana "KAPO" yao yenye watoto majiniazi na wana mipunga ,kumbe ndani NDOA NDOANO.
Mtoto wa 2000 wwSikuwahi kusikia hilo jina
Imebidi nimgoogle
Asee nilicomment simjui huyo Mbiki 2023 ajabu ningelisikia hilo jina tena 2026 ningesema hivyo hivyo simjuiMtoto wa 2000 ww
Ma miss wa ukweli walikuwa hawa, baada ya mambo wakapiga shule na mambo ya maana,kuna yule Mercy Galabawa dah japo hakushinda taji.Moderator ongezea hii kwenye uzi. Nadhani mtafutwa ndio huyuView attachment 2703587