Kwa mshangao wako atapita kirahisi sanaHuyu jamaa kwa kweli huwa simkubali kabisa kabisa, nasubiri huo uchaguzi mwakani nione kama atapita
Unaweza kukataa dola 2,000 kwa kuweka √ tu?
Kwa mshangao wako atapita kirahisi sanaHuyu jamaa kwa kweli huwa simkubali kabisa kabisa, nasubiri huo uchaguzi mwakani nione kama atapita
Yupo huku...Ana ID zaidi ya moja...pia ni mkongwe hukuAlijifanya yupo karibu na wadau akafungua hiyo account ili apewe ushauri..kilichofuata ndio akaikimbia mazima. ..kiufupi jamaa ni mbabaishaji namba moko
Yupo huku...Ana ID zaidi ya moja...pia ni mkongwe huku
Mwambie basi Dada yako kokubanza arudi nyumbaniSisi Wahaya si watu wa mchezo mchezo watu tunafahamika mpaka UN itakuwa Tiefuefu? Mtachonga sana lakini Kaitaba ndo home.
Alipitaje ashindwe kupita mwakani? Watampa tu, hakuna kitu kibaya kama njaaHuyu jamaa kwa kweli huwa simkubali kabisa kabisa, nasubiri huo uchaguzi mwakani nione kama atapita
yupo humu mkuu, hata hapa kwenye uzi huu yupo namuona amecomment kwa ID nyingine sio hiiMara mwisho kuonekana ilikuwa tar.3-June=2015.Wadau wana ushauri
cc Jamal Malinzi
View attachment 409972
Hawa ndugu zetu huwa wanafocus kwenye issue yenye manufaa kwao tu.Alijiunga na Jf kipindi anagombea iyo nafasi alivyopata hiyo kazi JF tupa kuleee
Hiyo ' Mureba ' yako ni Wilaya mpya iliyozinduliwa hivi karibuni Mkuu au?
Wewe Mkuu ni MGENI naona umekuja juzi na Joseph kabila kabanga