Yuko wapi Humphrey Polepole?

Wakuu,

Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo

Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.

Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.

Kwank huyu ni kajana au Mzee! tuanzie hapo kwanza
 
Wakuu,

Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo

Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.

Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.

Unafiki umempoteza. Kijana mdogo halafu mchawi
 
Yupo anafanya maombi maalum ili kikombe kimuepuke, maana wenye chama chao wamesha irejesha nchi mahala pake, vipi kama wakiamuwa kuzirejesha na mali za chama walizo nyang'anywa kibabe huku polepole akigipa pambio kusifia juhudi za M/kiti.

Nahis hata usingizi wake anaupata Kwa taabu sana.
 
Wakuu,

Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo

Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.

Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.

Dodoma Bungeni
 
Wakuu,

Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo

Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.

Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.

Pole pole hajastaafu. Ni mbunge wa kuteuliwa
 
huu ndio mtambo mwingine ambao mpaka leo sijaelewa unakuwaje bado ni waziri. Huyu mama saa zote yupo kama anaigiza role ya mama wa kambo kwenye movie ya kinigeria. Tena mama wa kambo mchawi.
Acha chuki. Huyo mama anachapa kazi sana tokea akiwa TAMISEMI.
 
Back
Top Bottom