Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,680
Wakuu,
Ni kitu mbaya sana kijana mdogo kama Polepole kustaafu katika umri ule, mwili bado unadai na nguvu ya kusumbua watu ipo
Tangu kutenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu uenezi, Polepole hajapata kuonekana popote pale.
Si vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii, amepotezwa kishamba kwelikweli.
Huyu na mwendazake ninawadai ajira walizo tuahidi wakati wa kampeni. CCM msitumie raslimali akili zetu bure bure tu.