Mtoa mada kukurupukaTamasha linahusisha wakonge waliotengeneza bongo fleva early 90s. Diamond yeye ameingia kwenye game 2000s thus yeye ameendeleza kilicho tengenezwa na wakongwe
Mtoa mada kukurupukaTamasha linahusisha wakonge waliotengeneza bongo fleva early 90s. Diamond yeye ameingia kwenye game 2000s thus yeye ameendeleza kilicho tengenezwa na wakongwe
Hao mashoga mnaweza kuwasema kutokana na tabia zao za kutudhalilisha sisi wanaume tunaonekana ni wa ovyo kwasababu yao ila linapokuja suala la ufanyaji wa kazi wale jamaa wanapiga kazi sana ile mbaya Mimi nimewahi kufanya kazi ofisi moja na shoga nimeiona hilo hata huyo Noeli kazi yake anaijua Diamond kavalishwa na watu wengi ila mtu anayempatia kwenye kuvaa ni huyo NoeliYupo anafuga mashoga kina Noeli
Angeuliza Salehe Jabir yuko wapi? Yeye ndo alifungua njia kwa kuanza imba nyimbo za kizungu kwa kiswahil ndo watu wakaona kumbe inawezekana.Mtoa mada kukurupuka
Dar hot wire long-time aiseUnaruhusiwa kucheki profile sie tupo tangu enzi za Dar Hot Wire na Yahoo chat punguza argumentum ad aetatem.
Sasa umeelewa kwanini mondi hajaitwa?Kitambo sana yaani Gen Z na genalpha walikuwa bado wapo kwenye karanga na mchuzi wa pweza
Mkuu,mimi nakumbuka jina lake ni Salehe bin Jabir,Angeuliza Hassan el Jabir yuko wapi? Yeye ndo alifungua njia kwa kuanza imba nyimbo za kizungu kwa kiswahil ndo watu wakaona kumbe inawezekana.
HANAKwani nae anayo hiyo 30
Upo sahihiMkuu,mimi nakumbuka jina lake ni Salehe bin Jabir,
Huyu Jamaa kwa sasa anaishi UK
Ni Kaka yake na Salama Jabir wa BSS
Akiwa na za kuvukia barabara hawezi elewa sio!Lengo la show ni kwa walioanza bongo flava na wapo kwenye game for 30yrs sasa huwezi taka diamond awepo na anasema ana 36yrs kumaanisha kwamba at 6yrs alikwa ndani ya game huyo achana na yeye bro wale walikuwa wanachana kweli sio wa sasa wimbo ni maneno matatu umeisha (mwanza nyegezi, kwetu mwanza nyegezi nyege nyege nyegezi wimbo umeisha useme nayo ni bongo) wimbo kama wa pro day na ferooz {starehe} ni wimbo kweli na unafundisha kama mtu anazo akili bro na sio awe na akili za kuvukia barabara tu
yap bro coz watu miaka hii zilishawachomoka na zingne wanaacha nyumban wanabaki na kuvukia barabara tuAkiwa na za kuvukia barabara hawezi elewa sio!