Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,155
- 31,082
Huyu jamaa ni kipindi saa yuko kimya, nilikuwa naelewa sana ngoma zake kama elimu mtaani dot com, na nishike mkono.
Jamaa alikuwa mgumu sana katika kila kitu mpaka lifestyle lake, ila ni ipindi sasa sijamsikia. Anayejua kama bado yu hai tafadhali.
Jamaa alikuwa mgumu sana katika kila kitu mpaka lifestyle lake, ila ni ipindi sasa sijamsikia. Anayejua kama bado yu hai tafadhali.