Yuko wapi Cyprian Majura Musiba?

Musiba alikuwa mtu wa kitengo na alishamiri sana enzi za yule balozi wetu kule NAMIBIA [ Kipilimba] alipokuwa mkuu wa kitengo!! Cha kushangaza ni pale yule Mkuu wa kitengo kumfadhiri Musiba wakati huo huo alikuwa karibu sana na NYOKA WA MDIMU [ Membe]!! Hata kutolewa kwake jiwe alihisi kuwa alikuwa anavujisha siri kwa Membe!
 
Yatima Hadeki ujue
 
Anatafuta hela ya kumlipa Membe
 
Tumuombee sana,.. Mungu hadhihakiwi .. Anachopitia kiwe funzo na kwetu pia
 
Kwa yle maneno aliyokuwa anayasema ni vema akawaomba wale wote aliowachafua radhi na pia atubu kwa Mungu.
 
Jamaa alisumbua sana watu aisee,huenda ile ilikuwa 'project maalum' ya kuwalenga watu fulani wenye ushawishi ili kuwachafulia sifa na majina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…