Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,079
- 4,892
UKIMWONA UNAWEZA KUDINDOSHA MACHOZINdugu wadau
Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.
Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Hapana, ila kama mtanzania mwenzetu aliyekuwa nguzo ya utakasaji kwenye awamu ya Tano kuwa kimya namna hii kama wadau tunaona sio sawaaa.Unamdai?
Bila Shaka atakuwa pangoni hivisasa na anaogopa kutolewamoπ€Ndugu wadau
Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.
Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Bora Kwa kuwa malipo ya uovu ni humu duniani naaπ€
Na mfumuko wa bei juuLakini mlimuunga mkono. Sema sasahivi ndio mnapata akili. Wakati ule mlikuwa hamuambiwi kitu.
Rais Samia yeye kajifunza, kaona pesa na mali ni vitu vya kupita, ajira ametoa, mishara kapandisha na Malupu lupu juu.
Tunasubiri Katiba Mpya tu baasi.
harudi tena ,ndo tatizo la kuonyesha rangi yako wakati umefanikiwa ,sasa hivi sukuma gang ni ngumu sana kurudi ikulu na jamaa amewatukana karibia kundi lote la kikwete.Kweli kabisa,Sijui itakuwaje baadaye yake, sijui arudi Kwa style ipi Uringoni:
Musiba kapata msiba!Ndugu wadau
Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.
Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Forgerer-in-Chief, Magufuli...na huo uchonganishi aliufanya kwa miaka 5+ bila Raisi, serikali, au Ccm kuchukua hatua.
..je, nani alikuwa anamtuma Musiba?
..Nani alikuwa anamlipa na kumuwezesha Musiba?
..Kwa mfano, nani alimsaidia Musiba kumdukua Membe, na wenzake?
..Nani alikuwa anamlinda Musiba?
Huyu Musiba huyu kinacho enda kumkuta ni kile wanacho pambana nacho kwenye orodha hii:Hata mimi niliiona ila niliona kama ina walakini hivi. All in all, popote alipo yuko kwenye hali mbaya sana. Nina uhakika hata unyasi ukidondoka kwenye bati la nyumba aliyopo ni lazima anajamba. Unajua utawala wa sasa umeamua kumpa adhabu mbaya sana i.e. wanamwacha afe kwa kiroho na wasiwasi. Muda wote ana wasiwasi, hajui ni nini kitafuata kesho yake.
Amelipa hela za watu? Labda kajichimbia mahali anaoggopa.Ndugu wadau
Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.
Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Kwani ukitaka kumtafuta shetani si unaenda kuzimu?Ndugu wadau
Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.
Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'
Huyo Mwendazake ndio nani? Lazima ni maarufu sana.Ndugu wadau
Wote tunamkumbuka ndugu Musiba alivyokuwa mzungumzaji enzi za Mwendazake. Enzi za Mwendazake Musiba alikuwa Katibu Msaidizi wa Bashiru Ally, Msaidizi wa Katibu mwenezi wa Polepole. Tangu Mwendazake aende na Ndugu Membe kumpeleka mahakamani kwamba alimchafua.
Huyu nguli Yuko wapi maaana Kawa kimya sana na Wala Yale magazeti yake ya Tanzanite yamekuwa adimu sanaaa'