MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,102
Najaribu kumtafuta kwenye simu lakini hapatikani, labda amehamia BBC
Ana Maduka ya nguo DSM last week nilionana naye China naona amepata mwenzie sasa na ameacha kazi ya Utangazaji.DJ Fetty sijui yukwapi
Huyu ni mnyarwanda?Wanajamvi mambo?
Kwa leo nimekubuka mengi ila nataka kujua yuko wapi dada mmoja mtangazaji wa ITV Chiku Lweno? Hivi kweli aliomba permanent contract kutoka kwa Joyce Mhavile mnyarwanda katili, akamtimua? Tujuzane kama yupo humu ajitokeze.
Kwao hayupo. UFO ni wa Mkoa wa Arusha, Wilaya ya Karatu, Kijiji cha Bassodawish na Kitongoji cha shangit. Angekuwa nyumbani ningemwona.
Hahaha,duhhhhUfoo Saro amepata mchumba amekwenda kijijini kwao kumtambulisha
Mkuu,hivi Karatu ipo mkoa wa Arusha au Manyara?Kwao hayupo. UFO ni wa Mkoa wa Arusha, Wilaya ya Karatu, Kijiji cha Bassodawish na Kitongoji cha shangit. Angekuwa nyumbani ningemwona.
ArushaMkuu,hivi Karatu ipo mkoa wa Arusha au Manyara?
Nani kasema anakaa machame. au ukiwa msukuma lazima uwe shinyanga au Geita au Mwanza?Kaka uko vizuri..... sasa mmchame alihamia karatu au?
Nani kasema anakaa machame. au ukiwa msukuma lazima uwe shinyanga au Geita au Mwanza?
Basi yeye na mchumba wake watakuwa wamejifungia mahali, WANAFAHAMIANA kwa undani zaidi....Kwao hayupo. UFO ni wa Mkoa wa Arusha, Wilaya ya Karatu, Kijiji cha Bassodawish na Kitongoji cha shangit. Angekuwa nyumbani ningemwona.
AZAM mediaYuko wapi Fatma Almasi Nyangaswa?
ArushaMkuu,hivi Karatu ipo mkoa wa Arusha au Manyara?
Wanajamvi mambo?
Kwa leo nimekubuka mengi ila nataka kujua yuko wapi dada mmoja mtangazaji wa ITV Chiku Lweno? Hivi kweli aliomba permanent contract kutoka kwa Joyce Mhavile mnyarwanda katili, akamtimua? Tujuzane kama yupo humu ajitokeze.
Wanajamvi mambo?
Kwa leo nimekubuka mengi ila nataka kujua yuko wapi dada mmoja mtangazaji wa ITV Chiku Lweno? Hivi kweli aliomba permanent contract kutoka kwa Joyce Mhavile mnyarwanda katili, akamtimua? Tujuzane kama yupo humu ajitokeze.
Ni mbena wa njombe huyo ndiko waliko kina muhavile wenzie wengi tu.Kumbe Bi Johadida
Aisee nimemiss sana HALIMA MCHUKA yupo wapi huyu naye RTD anzi hizo MISANYA BING.Mi naomba kujua yuko wapi UFOO SARO?! siku hizi simuoni akiripoti matukio ITV.
Muhavile au Mhaville?Ni mbena wa njombe huyo ndiko waliko kina muhavile wenzie wengi tu.
Mhaville ndio sahihi kabisa.Muhavile au Mhaville?