NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Sasa unafikiri anapewa gari burebure tu.na ukabwili juu
Sasa unafikiri anapewa gari burebure tu.na ukabwili juu
Kaja kwenye klabu inayojielewa. Yanga hatuwezi kumruhusu Manara atukane watu mitandaoni kama alivyokuwa anaruhusiwa kwenye timu ile ya mambumbu fcHabari Jf
Haji Manara ni msemaji saaana pindi pale timu yake inapofanya vizuri, atatumia media zote kuwasifia wachezaji wake na kuwananga vikali wapinzani wake
Kwa sasa tangu ahamie yanga kwa mbwembwe nyingi hali imekuwa tofauti, Haji Manara hasikiki popote pale
Haji yule wa simba aliyehamia yanga yuko wapi?