Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,536
- 8,624
Laswai huwezi acha kumtaja kwenye historia ya mageuzi....alikuwa machachari Kama Tundu Lisu .....CCM wabaya ...wakamfanyia visa ...kumfukuza kazi UD,akafungiwa uwakili ...ubunge wakambana akapoteza ...Hii mbinu inaitwa starving
Mwisho akarudi ccm.....wakampa kazi mbili Tatu...baadaye walipohakikisha Hana Tena nguvu mitaaani wakamtupa......alikuwa na nguvu Sana kwa vijana ...lakini ikifikia anapita mitaaani vijana wanamnunnia na ccm ndicho walichotaka
Ni Kama nguvu alikuwa nayo Kabourou Kigoma ..nadhani hata Zitto hajaaifikia ,,watu walikuwa wanalaala train station kumsubiri Kama anakuwa ..lakini HUYO Leo Zitto kamagragaza vibaya ..wananchi wanamuadhibu kwa kuwasaliti
Mwisho akarudi ccm.....wakampa kazi mbili Tatu...baadaye walipohakikisha Hana Tena nguvu mitaaani wakamtupa......alikuwa na nguvu Sana kwa vijana ...lakini ikifikia anapita mitaaani vijana wanamnunnia na ccm ndicho walichotaka
Ni Kama nguvu alikuwa nayo Kabourou Kigoma ..nadhani hata Zitto hajaaifikia ,,watu walikuwa wanalaala train station kumsubiri Kama anakuwa ..lakini HUYO Leo Zitto kamagragaza vibaya ..wananchi wanamuadhibu kwa kuwasaliti