rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,439
Msumbuko ni mwanasheria huyu.
Mara ya mwisho nimemkuta mahakama ya Kariakoo akitetea wezi wa kuku.
Kavaa koti linalomtosha mwanawe na miguuni makubadhi.
Wallah dunia tambara bovu!
majoja nafikiri hiyo siyo kweli