Youtubers tukutane hapa

nahitaji kufungua youtube ac ambayo nitakuwa naupload content za highlights za EPL(football)

yoyote mwenye ujuzi?nianzaje?
Kuna jamaa zangu kadhaa wanafanya hiyo kitu.

Ila mara nyingi wanaambulia copyright strike mwishowe kufungiwa channel zao

Na kindi cha nyuma kidogo kulikuwa na hela nzuri lakn saizi wamepunguza mbumba.

Kama unataka kufanya ww fanya ila hakikisha unakuwa na walau channel mbili, hizo highlights kublockiwa ni suala la sekunde.
 
nahitaji kufungua youtube ac ambayo nitakuwa naupload content za highlights za EPL(football)

yoyote mwenye ujuzi?nianzaje?
Hapo mkuu inawezekana lakini ujitahidi kua mbunifu wa video hizo pamoja na sauti ili kuepuka copyright claim za highlights zako
 
Mm nimekuza channel yangu kwa mbwinu Moja rahisi sana..

* Kupiga kazi bila kuacha au kukaa muda murefu bila kuzalisha content

Kawaida ya algorithm huwa ina recommends channel ambayo muda mwingi inazalisha content back to back bila kuchoka.

Kwa hiyo nikujitahidi kutengeneza contents za kutosha na kuaploads video mara kwa mara.
Mm binafsi kwa sasa kila siku lazima niapload video 2 mpk 3 kwa siku

Siku nikiwa na muda wa kutosha huwa na tengeneza hadi video kumi
Ili hata siku nikishindwa kuzalisha content basi siwezi shindwa cha kupost.

Nakuhakikishia ukianza kufanya hayo niliyokuambia hakika utayaona mabadiliko makubwa ukilinganisha na awali.

Mungu hakutuumba wavivu sema tunaupandikiza tu.
Shukurani mkuu lakini kupata subscribers YouTube inatakiwa pia uwatafute kuanzia unao kaa nao
 
Shukurani mkuu lakini kupata subscribers YouTube inatakiwa pia uwatafute kuanzia unao kaa nao
Mm binafsi sijawahi fanya hivyo kuwa tafuta.
Coz wale wa kuwatafuta unakuwa Kama vile unawaomba na sio kwa sababu wamependa unachofanya ndio maana utakuta unao subscribe wengi ila views wachache

Hiyo itaonesha jinsi gani hawakupenda unachofanya bali walisubscribe kwa sababu ww ni jamaa/rafiki yao na uliomba wafanye hivo.but ukifanya kitu kizuri na chenye muendelezo wala hauitaji kuanza na unaokaanao mm hata alama au maandishi sijui Naomba msubscribe huwa siweki lkn naona subscribe wanapanda kila siku.
 
Kuna jamaa zangu kadhaa wanafanya hiyo kitu.

Ila mara nyingi wanaambulia copyright strike mwishowe kufungiwa channel zao

Na kindi cha nyuma kidogo kulikuwa na hela nzuri lakn saizi wamepunguza mbumba.

Kama unataka kufanya ww fanya ila hakikisha unakuwa na walau channel mbili, hizo highlights kublockiwa ni suala la sekunde.
Jambo la msingi aondoe kabisa soundtracks zao, aweke za kwake.

Mostly, Copyright issues wanakudakia kwenye sounds.
 
Jambo la msingi aondoe kabisa soundtracks zao, aweke za kwake.

Mostly, Copyright issues wanakudakia kwenye sounds.
Kweli mkuu hata mimi walinitumia copyright claim ila nilivyo badili sound nili uploud vizuri aisee
 
Wadau kama wewe ni mmiliki au mtengenezaji wa channel YouTube.

Au ni mdau wa YouTube, tukutane hapa ili kujadili maswala yanayo husiana na YouTube channel kama vile kutengeneza, kumonitor, kupata mbinu mbalimbali za kupata subscribers, viewers, comment na shares.

Pia uwanja huu utahusisha Sub for sub(Sub4sub).
Vip kuhusu 4000 watching time ilikupata adsense
 
Wakuu natafuta software isiyotumia nguvu nyingi kwa ajili ya kuandaa audio visual with texts . yaani YouTube video ambayo ni mchanganyiko wa Picha na Maneno tu bila Mimi kujirecord video.msaada yutubaz
 
Back
Top Bottom