Tit 4 Tat
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 736
- 1,000
Shukrani kwa kuniwekea uthibitisho maana niliona kwenye clip fulani lakini sikujua ni Channel ipiAnzia dakika ya 1:30 mpaka dakika ya 2:00
Sio official lakini utaona wanako elekea.
Shukrani kwa kuniwekea uthibitisho maana niliona kwenye clip fulani lakini sikujua ni Channel ipiAnzia dakika ya 1:30 mpaka dakika ya 2:00
Sio official lakini utaona wanako elekea.
Sasa znakukera nn mkuu?Comments za youtube zinaboa kila mtu anaomba like bhanahawa watu wananiboa sana.
Utakuta "wa kwanza kuview naomba like zenu" , mara nipeni like 100 kwa ajili ya fulani, mwenzenu sijawahi kupata like jamani naombeni tano tu.. kama unaikubali hii ngoma gonga like twende sawa... dah!
mzee wa kulimwa ban, inabidi wakupe na reward aisee, siyo kwa bans hiziNi vyema ukipata mtu unamuuzia si mbaya.
Hakika hata 1M zihusike kwa best Banned Member.mzee wa kulimwa ban, inabidi wakupe na reward aisee, siyo kwa bans hizi
hahahahahaBila shaka mods wafanye hivyo nipate zawadi yangu
Leseni bado inakubidi uwe nayo labda kama unafanya sanaa ndio hutahusika nayo.Wataalam vipi kuhusu leseni? Serikali imebadili kanuni au ndio ukitaka unajilipua?
Mimi nafanya hio kitu 2 years sasa hua na embed beat ambazo hazina copyright una download youtube tu free naaipigwi strike na matangazo napewaKuna jamaa zangu kadhaa wanafanya hiyo kitu.
Ila mara nyingi wanaambulia copyright strike mwishowe kufungiwa channel zao
Na kindi cha nyuma kidogo kulikuwa na hela nzuri lakn saizi wamepunguza mbumba.
Kama unataka kufanya ww fanya ila hakikisha unakuwa na walau channel mbili, hizo highlights kublockiwa ni suala la sekunde.
YouTube zipo ambazo hazina watermark una download tuTatizo kinemaster ina watermark kuitoa hadi ulipie