Youtube is banned, uingii bila vpn

Youtube is banned, uingii bila vpn

Jamaa matako sana hili! Sijui linadanganya kwa faida ya nani?
Kuna ujinga fulani unachochewa na vilaza kwa makusudi....
Cha ajabu ni vilaza halafu choka mbovu, wameaamua kuegemea kwenye ujinga fulani wakidhani utawavusha.....
 
Huo mplatform siutumii kabisa labda ibidi...tiktok fb insta kitambo nishazitoa kwenye simu
 
Mkiambiwa No Reforms No Election mjiunge kwa maelfu katika vuguvugu / movement mkakataa mlifikiri hayatawakuta.

Sasa ni wakati wa waTanzania wote kuongia barabarani, kufanya mabadiliko na kukingoa chama hiki kongwe Dola kilichotawala kwa miaka 60.
Sasa ni wakati wa waTanzania wote kuingia barabarani, kufanya mabadiliko na kukingoa chama hiki kongwe Dola kilichotawala kwa miaka 60.📌🔨
 
Huu si ni ujuha kuzima mitandao! Ni sawa na kukata tawi la mti huku umelipanda. Ni ushenzi fulani unafanyika. Njia ziko nyingi ukiziba moja zinatokea saba. Mafuriko ya maji huwa hayazuiliwi, utaweza kuzuia gharika?
 
Kuna ujinga fulani unachochewa na vilaza kwa makusudi....
Cha ajabu ni vilaza halafu choka mbovu, wameaamua kuegemea kwenye ujinga fulani wakidhani utawavusha.....
Huyu mzee mpumbavu tu, katuburuza tangu kwenye kuchagua Makamu akatuletea li kilaza sasa anaendelea kuburuza tu!
 
Back
Top Bottom