FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
Maana hakuna namna nyingine, ajifunze na kukubaliana na hali halisi. Pia asitake kuuliza maswali mengi, maana watu husema majibu yake pengine huwezi kuyabeba au kuyahimili.Huyu ajifunze kutafuta wa urefu wa kamba yake
Huko huko.![]()
Mkuu mule mule... Nifafanulie kule juu tafadhali.Thanks mam,
Am cool as always, we are happy for your love. I personally try to replicate it, but yours is one that can't be matched.
Nice weekend.




Nakuona unawahi "jimu" kutafuta 6 packsKumbe niliweka "?"...basi nimeweka kimakosa mkuu![]()
![]()
Kikoloni tena!What do you mean...![]()
![]()
Daah bora maana hadi nilishahisi njaa. Hii lugha ya wakoloni nayo ina ukoloni ndani yakeMning'inio umekwisha, naona siwezi tena kuendelea na hii lugha ya bepari.....tehteehh



.Thanks mam,
Am cool as always, we are happy for your love. I personally try to replicate it, but yours is one that can't be matched.
Nice weekend.
Mkuu mule mule... Nifafanulie kule juu tafadhali.
Naona umepasua yai la mbuni apa. Ulikuwa umeficha kucha kumbe.
![]()
Mkuu mule mule... Nifafanulie kule juu tafadhali.
Naona umepasua yai la mbuni apa. Ulikuwa umeficha kucha kumbe.
![]()
Woow what a nice of you. ... I love it.I personally try to replicate it,
but yours is one that can't be matched.
Hahahhahahaha nimecheka aisee. !!! Vile nimesahau hata kama nimekunywa chai si kwa njaa hii. Nilikuwa nawaza ukinipa yai la mbuni tena nitalipasuaje maana sina hali..NaUnGa mKoNo hOjA.......
Maana hakuna kitu ngumu kama kupasua yai la mbuni....tehteehh
Hapa hadi jasho lantoka haki...



Gihiiiiiiii, umemuelewa sasaKuna mtu baada ya kuona nahangaika imebidi aniandikie hapa mistari.
Na mimi nisiachwe nyuma.



Am already on vergeNakuona unawahi "jimu" kutafuta 6 packs



