Marahaba kaka mkubwa!!!!Yaani dogo sijui hataki nielewe anavyoviandika, naona ni full ung'eng'e.
Hapa twisheni inahitajika.
cute b shikamoo mdogo wangu.







.Naona ushauri wangu umeanza kunirudia mimi .But don't ask' Why you.... tehteehh






Hapana nyie mna mada yenu. Hii haiwahusu. Mtamfanya Ushimen ajisikie vibaya!!!Sisi wenye six packs, tuna hela na u handsome tunao.. tunaruhusiwa kuchangia hii mada?
Ghafla umenikunbusha historia yetu, hasa ya kwenye kitabu kitakatifu....![]()
![]()
![]()
Ila next time mkuu tafadhali mkuu usije ukatumia lugha hii ya queen. Nimetumia nguvu kubwa saana kuelewa. Japo sijakuewelaBado haujapoteza kumbukumbu mkuu...![]()
![]()
Marahaba kaka mkubwa!!!!
.
Moyo kazi yake inajulikana mkuu.Facial?![]()
Six packs?![]()
Tumieni mioyo, and Do not interfere your brain with your heart.
Nilitaka nikuambie nimekitolea wapi ila naogopa.Acha tu mkuu, sijajua kiburi hiki kakitoa wapi?
Oxford au Longman?
Aje atujibie huku![]()
Nitawasalimia sana mkuu, na mapacha pia wataitika ingawa wapo shuleni sasa.Wasalimie Ushirombo na Kibaha, natumai kote huko hawajambo.
Nimewakumbuka mapacha, natumai sasa wamekua wakubwa.
Marahaba kaka mkubwa!!!!
.
Lipi 4GKwamba hujaona swali au?![]()
Yes, too many of them, but the problem is; some are from the very rare species.Mpelekeni jandoni mwanaume mwenzenu. There are plenty fishin the sea
Lipi 4G
Nilitaka nikuambie nimekitolea wapi ila naogopa.