"Your Private Message Was Not Delivered to ...... ".

"Your Private Message Was Not Delivered to ...... ".

JF2050

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
2,085
Reaction score
45
Kuna mdada nampenda humu Jf jamani, yaani kadri siku zinavyoenda anazidi kunifanya niishi kama vile nimeazimwa kichwa!

Jana jioni nimekaa nikasema ngoja nimwandikie PM, nifunguke kabisa moja kwa moja bila kusita.

Nimeandika PM yangu, lakini cha ajabu kila nilipojaribu kuituma nikawa napata huu ujumbe "Your Private Message Was not Delivered to ...... ". Niliona sio hali ya kawaida ikabidi tu nisitishe zoezi, sijui ni tatizo gani.

Ingawa sijampata, lakini naamini siku nikimpata atanipandisha mpaka niweze kusimama juu ya mlima! Lakini acha tu nimdedicatie huu wimbo:

Westlife - You Raise Me Up (With Lyrics) - YouTube


Jamani nauliza, kuna watu humu wana nini maana mtu sijawahi kumwona lakini cha ajabu ananichanganya????
 
That the product of 'subconscious mind and imaginations'.
 
Kuna mdada nampenda humu Jf jamani, yaani kadri siku zinavyoenda anazidi kunifanya niishi kama vile nimeazimwa kichwa!

Jana jioni nimekaa nikasema ngoja nimwandikie PM, nifunguke kabisa moja kwa moja bila kusita.

Nimeandika PM yangu, lakini cha ajabu kila nilipojaribu kuituma nikawa napata huu ujumbe "Your Private Message Was not Delivered to ...... ". Niliona sio hali ya kawaida ikabidi tu nisitishe zoezi, sijui ni tatizo gani.

Ingawa sijampata, lakini naami siku nikimpata atanipandisha mpaka niweze kusimama juu ya mlima! Lakini acha tu nimdedicatie huu wimbo:

Westlife - You Raise Me Up (With Lyrics) - YouTube

Jamani nauliza, kuna watu humu wana nini maana mtu sijawahi kumwona lakini cha ajabu ananichanganya????


Beautiful song! em jaribisha tena kumtumia PM. nadhani atafurahi sana kujua kama huu wimbo ni yeye kapewa.
 
Mtumie vocha lakini ondoa digit ya mwisho. Itamlazimu akucheck tu ili aweze kuiingiza kwenye simu yake.
 
It is either 'Chit Chat' or 'Report Abuse'
Chagua!
 
Kwamba ataskiliza huu wimbo halafu akupende!!!?
Kwani wimbo umeuimba wewe special kwa ajili yake?
 
Back
Top Bottom